kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Rais Samia katika jitihada za kukuza michezo nchini alitoa ndege ya bure kwa wachezaji na wadau wa soka nchini kwenda Algeria kuipa hamasa Yanga ya kupambana.
Inafahamika kuwa wadau wa michezo ni wengi sana hivyo wasingetosha wote kupanda ndege ya Mama kwenda Algeria.
Swali langu ni vigezo gani vilitumika kumchagua nani apande na nani asipande ndege Ile ya mama? Je, Vigezo vilikuwa wazi kwa wadau wote? Nani aliamua nani aende na na nani asiende?
Inafahamika kuwa wadau wa michezo ni wengi sana hivyo wasingetosha wote kupanda ndege ya Mama kwenda Algeria.
Swali langu ni vigezo gani vilitumika kumchagua nani apande na nani asipande ndege Ile ya mama? Je, Vigezo vilikuwa wazi kwa wadau wote? Nani aliamua nani aende na na nani asiende?