Habari ndugu zangu, ujue dunia inaenda kasi sana.
Ni muda mrefu taifa letu limekuwa linalililia uwakilishi wa vilabu vyetu kimataifa.
Hatimaye Mungu amekisikia kilio cha watanzania baada ya muda mrefu. Hii picha hapo chini nitawezaje kuwaeleza kwamba YANGA waliweza kuwa kwenye picha hii?
Ndo hilo tu ndugu zangu, MUNGU akiamua kuwajibu watu, unaweza kutoa machozi ya furaha.
Msimu huu watanzania wana furaha sana.
Ni muda mrefu taifa letu limekuwa linalililia uwakilishi wa vilabu vyetu kimataifa.
Hatimaye Mungu amekisikia kilio cha watanzania baada ya muda mrefu. Hii picha hapo chini nitawezaje kuwaeleza kwamba YANGA waliweza kuwa kwenye picha hii?
Ndo hilo tu ndugu zangu, MUNGU akiamua kuwajibu watu, unaweza kutoa machozi ya furaha.
Msimu huu watanzania wana furaha sana.