Da Gladiator
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 1,641
- 2,646
Habarini za mchana,
Ijumaa nilipokea mwaliko wa kuhudhuria MAHAFALI ya kidato Cha NNE huku nyanda za juu, kiukweli nimekumbuka mengi sana.
1.KWAYA
"Haikuwa rahisi kuifikia siku hii yenye mafanikio, oooh tazama.. tazama wote kwa shangwe furaraha nasema Asante Mungu baba"
Kama kuna anaekumbuka amalizie
2.MAIGIZO
3.MAZINGAOMBWE
4.KUIGIZA SAUTI ZA WALIMU(daah)
Wewe unakumbuka Nini, karibuni
Ijumaa nilipokea mwaliko wa kuhudhuria MAHAFALI ya kidato Cha NNE huku nyanda za juu, kiukweli nimekumbuka mengi sana.
1.KWAYA
"Haikuwa rahisi kuifikia siku hii yenye mafanikio, oooh tazama.. tazama wote kwa shangwe furaraha nasema Asante Mungu baba"
Kama kuna anaekumbuka amalizie
2.MAIGIZO
3.MAZINGAOMBWE
4.KUIGIZA SAUTI ZA WALIMU(daah)
Wewe unakumbuka Nini, karibuni