Mtu Poa 2013
Senior Member
- Mar 26, 2013
- 105
- 65
wewe ni waajabu uwezo wako wa chumba kimoja unawaza ghorofa simajanga hayo
Tayari una mchoro uliosanifiwa wa hilo jingo la ghorofa (ndoto)?Habari.Nafikiria kujenga chumba kimoja cha kuanzia maisha. Baadae nikipata pesa zaidi ntaongezea. Nafikiria pia baadae niipandishe iwe ghorofa. Ningependa kufahamu process nzima ya ujengaji wa msingi ili ntakapoajiri mtu anijengee, asinidanganye na kuniibia. Mafundi nisaidieni
wewe ni waajabu uwezo wako wa chumba kimoja unawaza ghorofa simajanga hayo
Tayari una mchoro uliosanifiwa wa hilo jingo la ghorofa (ndoto)?
wewe ni waajabu uwezo wako wa chumba kimoja unawaza ghorofa simajanga hayo
Habari.Nafikiria kujenga chumba kimoja cha kuanzia maisha. Baadae nikipata pesa zaidi ntaongezea. Nafikiria pia baadae niipandishe iwe ghorofa. Ningependa kufahamu process nzima ya ujengaji wa msingi ili ntakapoajiri mtu anijengee, asinidanganye na kuniibia. Mafundi nisaidieni
wewe ni waajabu uwezo wako wa chumba kimoja unawaza ghorofa simajanga hayo