Mtu Poa 2013
Senior Member
- Mar 26, 2013
- 105
- 65
Habari.Nafikiria kujenga chumba kimoja cha kuanzia maisha. Baadae nikipata pesa zaidi ntaongezea. Nafikiria pia baadae niipandishe iwe ghorofa. Ningependa kufahamu process nzima ya ujengaji wa msingi ili ntakapoajiri mtu anijengee, asinidanganye na kuniibia. Mafundi nisaidieni