ndayilagije
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 7,491
- 8,304
- Thread starter
- #61
Kwa sababu verified user huku respond.Kwa nini mkuu iwe cooked data
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sababu verified user huku respond.Kwa nini mkuu iwe cooked data
AsanteAnza tu hujachelewa
Hahaha sawa mkuu, kila la heri kwenye utafiti wako na karibu tena kama utakuwa na maswali ya utafitiKwa sababu verified user huku respond.
Mmmmh,kuna respondent mmoja keshanipa swali la kesho,Twaweza ni shida.Hahaha sawa mkuu, kila la heri kwenye utafiti wako na karibu tena kama utakuwa na maswali ya utafiti
Hili tangopori.
Hahaha sawa Ndugu mtafitiMmmmh,kuna respondent mmoja keshanipa swali la kesho,Twaweza ni shida.
Eeenhe!! Cheo hicho,Twaweza idumu. (Mtafiti)Hahaha sawa Ndugu mtafiti
Poa sana mtafiti kazi njemaEeenhe!! Cheo hicho,Twaweza idumu. (Mtafiti)
Sisomi Vitabu ili nije kuwa Fulani, nasoma Vitabu ili niweze kujiona kwenye taswira ya tofautihivi mnao soma vitabu huwa mnataka kuja kuwa kina nan?
mi nasoma magazet tu sku hizi
Kuna watu hawaelewi faida ya hili,mkuu tafadhali naomba ufafanue kidogo ili wakuelewe hasa jinsi mada inavyoweza kuathiri mtazamo wako kuwa chanya au hasi, Nakuomba.Sisomi Vitabu ili nije kuwa Fulani, nasoma Vitabu ili niweze kujiona kwenye taswira ya tofauti