Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
tupo machoWanajamvi,
Kila mara nikiweka picha yangu halisi, member wengi huwa wananishauri nirudishe ya Tupac, sasa nimeona niachane na utumwa wa kukaa kivulini,nimeweka avatar ya picha yangu halisi! God is great! Kama kuna wasioipenda, wale ambao wanafuatilia maoni yangu na kuyapenda, na wanataka nirudishe ile ya Tupac Shakur, tujulishane[emoji1488][emoji7]
I donโt know him.Acha kumuonea wivu.. kwanini umtaje tajeeee hivi.. ha ha haaaaaa
Unajua ni kiongozi wa watu wanaoishi majuu ya nchi za juu humu na duniani kwa ujumla.. au umesahau cheo chake humu.. wengi wanakionea wivu sanaaaaaa
Kwani wachagga ni foreigners?๐ ๐๐๐๐!! Mimi Mchaga original hanipotei kabisa kwa sababu nimekaa nao sana! Wengine wanawatambua Wachaga kwa lafudhi (wale wenye lafudhi ya Kichaga) lakini mimi nawatambua kwa kuwaona tu!! Nime-mingle sana na akina Kimaro, Mushi, Massawe, Kimario, Lyimo , Tarimo na akina Shayo!!
Uzi wamejazwa na watu watatu
Sijui wanaongea lugha gani
Nimeona neno pusi sehemu nyingi
Sasa paka anakujaje hapa
Acheni hizo bwana wanyama waheshimiwe
Humu? Au huku? Na humu nimeshakutana na watu kikazi na ambao nafanya nao kazi FYI
yes kaka jmushi1 nimefurahi kukuona tena juziDaudi Mchambuzi wewe tumeshakutana live๐๐๐ฝ๐๐พ
Hongera sana. Hiyo FYI haikukubidi kuiandika.. kwa sababu nimekuuliza swali kutokana na unayoandika.. so jifunze kuwa na lugha isiyo ya kujihami au kuonyesha kama vile mtu amekuuliza kiswari.. inashusha mengi kwako au niseme juu yako. Kila la kheri..
Ngoja hizi pombe ziishe mkuu
Kesho utajilauma sana
Nipo hapa nasema hivi
Nipo hapa [emoji28]
..................[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uzi wamejazwa na watu watatu
Sijui wanaongea lugha gani
Nimeona neno pusi sehemu nyingi
Sasa paka anakujaje hapa
Acheni hizo bwana wanyama waheshimiwe
Hapa maneno ya kingereza ndio yalianza kuisha
..............[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jmushi1: umetukana kwa kiingereza hadi maneno yote yakaisha, umeanza kutumia maneno ya kiswahili yakiisha utaanza kutumia maneno ya kichaga hadi akuelewe
nikajua labda umefanana na 2pac