Msinyimane

Msinyimane

Tabutupu

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2010
Posts
13,206
Reaction score
18,549
MWAMBIE HUYO UNAYE MPENDA

UMEPEWA BURE TOA BURE.

MASHARTI KUZINGATIWA.

HAVE GOOD MOMENTS
icon13.png
 
mhm hamuna cha bure siku hizi...ata hii starehe ambayo muumba alitoa bure imekuwa kibiashara zaidi.....
 
Jamani "msinyimane" ni neno gumu sana unapochuku wa hatua za kulitafakari,hivyo tusikurupuke kulitolea maana.
 
MWAMBIE HUYO UNAYE MPENDA

UMEPEWA BURE TOA BURE;

HAVE GOOD MOMENTS
icon13.png

nani kakudanganya ya kuwa hatukununuliwa kwa bei mbaya?.........kazi ya Mwenyezi Mungu...................ina gharama kubwa...........
 
Vya bure vimebaki vitatu tu:
1.mvua
2.jua
3.hewa
Vingine vyote ni gharama tu!
 
Kwanini anipe bure? Hata kama amepewa bure ila anatumia pesa kukitunza.
 
Hakuna cha bure hata waliooa wanatoa kodi ya meza!ilikikuta kinapendeza kitunze kidumu!
 
Back
Top Bottom