thread hii lengo lake ni Ili wajijue wale ambao kwa makusudi au kwa bahati mbaya hamtakwenda mbinguni kule ambapo waadilifu wameahidiwa ahadi kubwa kuliko zote na yenye thamani.na kwa sababu mlishindwa kutii ile sauti kubwa.mkaona maisha ya duniani yanawatosha wakati maisha baada ya hapa ndio mazuri zaidi Kama tu msingeifanya mioyo yenu kuendelea kuwa migumu mkajirudi mliposikia ujumbe kutoka kwa manabii,mitume.kutaneni hapa kwa ajili ya kupeana updates ya kinachojiri huko motoni Kama mtaruhusiwa kuingia na simu zenu ambazo zimejaa jumbe m'bovu zimejaa uwongo,tukizikagua kwenye chrome history tunakutana na xnxx,x videos nk..poleni Sana japo Mimi siruhusiwi kuhukumu lakini kitendo Cha kuamua kuunga mkono kazi za malkia wa uzinzi anayemtukana Mungu kila siku kinatosha kufanya mnyang'anywe zile taa Saba ambazo mlipewa bure kwenye mkataba tuliongia na Mungu.chaputa wote hamuendi mbinguni.wale wasio amini uwepo wa Mungu kuna jamaa anajiita karanga yupo humu jf. siku ambayo mwili wake utataka ku shutdown ataelewa vizuri.kwamba maisha sio bahati mbaya na yupo anayejua vilivyofichwa.atakumbuka mahubiri ya yesu na mtume muhamad ila itakuwa too let.wadangaji wote,wale ambao mmeupunguza upendo ule mliokuwa nao awali kipindi mko watoto.wale ambao mnashiriki kula hela iliyotokana na kumwagwa damu.wale ambao mpo tayari kuwahonga mademu pesa lakini mama zenu hamuwatumii hela Kama hio mnayotumia kwenye anasa.kiufupi wako wengi siwezi kuwataja ila jueni tu mnachokitafuta mtakipata soon na mtaingia kwenye mtego tu.ukikutana na zuri mshukuru Mungu ila ukikutana na baya huko mbeleni jilaumu mwenyewe.ni heri mtubu Sasa ili saa ya kujaribiwa mpitishwe kwenye njia nyingine salama
Kama kuanzia Leo upo tayari kuacha mambo yote mabaya uwongo,uzinzi nk. Gonga like hapa tuanze Safari ya Kum treat ibilisi Kama adui yetu maana ni adui yetu yule kwanini atushinde kwanini story kila siku iwe hio hio tu mioyoni mwetu huku tukiendelea kuishi kwa hofu??