Msioamini uwepo wa kuzimu ya moto, jifunzeni kupitia uwepo wa volcano

Msioamini uwepo wa kuzimu ya moto, jifunzeni kupitia uwepo wa volcano

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
21,625
Reaction score
33,688
Salaam, shalom!


Mwili unaonekana, NAFSI ,akili na Roho havionekani ila vipo ,Volcano chini ya ardhi inaonekana, kuzimu ya moto IPO ,haionekani Kwa macho ya nyama. Lava IPO inaonekana, pia kuzimu IPO ila havionekani Kwa macho ya nyama.


Kuzimu Kuna moto, mtu na asikudanganye kwamba mwili wako ukijitenga na Roho Yako kwamba utakuwa kama mtu aliyepigwa ganzi, kwamba hutoisikia chochote, utalala fofofo, kwamba mwili ukioza ndio imeisha, unajidanganya.

Mtu ni ROHO, anayo NAFSI, na anaishi ndani ya MWILI, kuoza Kwa mwili hakuna mabadiliko yoyote kwenye nafsi na Roho.

Na ukitaka kujua hata maumivu unayohisi ni sababu uko hai, maana yake ni kuwa, maiti haiwezi kusikia maumivu, kinachomfanya usikie maumivu ni NAFSI Yako hai ndani ya MWILI, hiyo itaendelea kuishi hata baada ya MWILI kutengana na Roho.

Moto wa kuzimu ni halisi, na kuzimu ni chini, uwepo wa uji wa moto chini ya Dunia uitwao volcano ni uthibitisho pia juu ya uwepo wa kuzimu ya moto katika Ulimwengu wa Roho, ukifa bila kumwamini YESU, ukifa dhambini, utakwenda kuzimu,mwili ukibaki kaburini.

NB: Kuzimu ni halisi, na moto wa kule ni zaidi ya gesi, na hauzimiki. Na funza waliomo ndani ya moto Ule hawaingui, ni spesho kutesa waliomo ndani ya shimo lile.

Ikiwa hujampa Yesu maisha Yako, fuatisha Sala hii:

EE MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA, NIPE UWEZO WA KUISHI MAISHA MATAKATIFU, DHAMBI ISINISHINDE, UOVU USINISHINDE, ULEVI USINISHINDE, NINAOMBA HAYO KUPITIA JINA LA YESU KRISTO ALIYE BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU. AMEN
 
Salaam, shalom!

Kuzimu Kuna moto, mtu na asikudanganye kwamba mwili wako ukijitenga na Roho Yako kwamba utakuwa kama mtu aliyepigwa ganzi, kwamba hutoisikia chochote, utalala fofofo, kwamba mwili ukioza ndio imeisha, unajidanganya.

Mtu ni ROHO, anayo NAFSI, na anaishi ndani ya MWILI, kuoza Kwa mwili hakuna mabadiliko yoyote kwenye nafsi na Roho.

Na ukitaka kujua hata maumivu unayohisi ni sababu uko hai, maana yake ni kuwa, maiti haiwezi kusikia maumivu, kinachomfanya usikie maumivu ni NAFSI Yako hai ndani ya MWILI, hiyo itaendelea kuishi hata baada ya MWILI kutengana na Roho.

Moto wa kuzimu ni halisi, na kuzimu ni chini, uwepo wa uji wa moto chini ya Dunia uitwao volcano ni uthibitisho pia juu ya uwepo wa kuzimu ya moto katika Ulimwengu wa Roho, ukifa bila kumwamini YESU, ukifa dhambini, utakwenda kuzimu,mwili ukibaki kaburini.

NB: Kuzimu ni halisi, na moto wa kule ni zaidi ya gesi, na hauzimiki. Na funza waliomo ndani ya moto Ule hawaingui, ni spesho kutesa waliomo ndani ya shimo lile.

Ikiwa hujampa Yesu maisha Yako, fuatisha Sala hii:

EE MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA, NIPE UWEZO WA KUISHI MAISHA MATAKATIFU, DHAMBI ISINISHINDE, UOVU USINISHINDE, ULEVI USINISHINDE, NINAOMBA HAYO KUPITIA JINA LA YESU KRISTO ALIYE BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU. AMEN
Hujathibithisha kuna kuzimu, hujatgibitisha kuna roho.

Thibitisha kwanza kabla ya stories nyingi za kabobo.
 
Kuna majuha kwenye dini yao ya makobaz huamini maiti inaweza kupigwa viboko na ikahisi maumivu
Ndio maana Si Rahisi kuitisha mikutano ukahubiri mambo ya dini hiyo JAMII ikakuelewa na kuamini Kwa hiari Yao bila vitisho.
 
maiti haiwezi kusikia maumivu, kinachomfanya usikie maumivu ni NAFSI Yako hai ndani ya MWILI, hiyo itaendelea kuishi hata baada ya MWILI kutengana na Roho.

Nani aliwai kufa akaona hii hali akarudi kuja kutuhadithia?
 
Salaam, shalom!

Kuzimu Kuna moto, mtu na asikudanganye kwamba mwili wako ukijitenga na Roho Yako kwamba utakuwa kama mtu aliyepigwa ganzi, kwamba hutoisikia chochote, utalala fofofo, kwamba mwili ukioza ndio imeisha, unajidanganya.

Mtu ni ROHO, anayo NAFSI, na anaishi ndani ya MWILI, kuoza Kwa mwili hakuna mabadiliko yoyote kwenye nafsi na Roho.

Na ukitaka kujua hata maumivu unayohisi ni sababu uko hai, maana yake ni kuwa, maiti haiwezi kusikia maumivu, kinachomfanya usikie maumivu ni NAFSI Yako hai ndani ya MWILI, hiyo itaendelea kuishi hata baada ya MWILI kutengana na Roho.

Moto wa kuzimu ni halisi, na kuzimu ni chini, uwepo wa uji wa moto chini ya Dunia uitwao volcano ni uthibitisho pia juu ya uwepo wa kuzimu ya moto katika Ulimwengu wa Roho, ukifa bila kumwamini YESU, ukifa dhambini, utakwenda kuzimu,mwili ukibaki kaburini.

NB: Kuzimu ni halisi, na moto wa kule ni zaidi ya gesi, na hauzimiki. Na funza waliomo ndani ya moto Ule hawaingui, ni spesho kutesa waliomo ndani ya shimo lile.

Ikiwa hujampa Yesu maisha Yako, fuatisha Sala hii:

EE MUNGU KATIKA JINA LA YESU KRISTO, NINAKUKIRI WEWE KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU, NINATUBU DHAMBI ZANGU ZOTE, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU, ULIANDIKE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA UZIMA, NIPE UWEZO WA KUISHI MAISHA MATAKATIFU, DHAMBI ISINISHINDE, UOVU USINISHINDE, ULEVI USINISHINDE, NINAOMBA HAYO KUPITIA JINA LA YESU KRISTO ALIYE BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YANGU. AMEN
Umeandika ndefu harafu Haina point
 
maiti haiwezi kusikia maumivu, kinachomfanya usikie maumivu ni NAFSI Yako hai ndani ya MWILI, hiyo itaendelea kuishi hata baada ya MWILI kutengana na Roho.

Nani aliwai kufa akaona hii hali akarudi kuja kutuhadithia?
Waulize madaktari wanapowafanyia surgery kubwa wagonjwa.

Wagonjwa Wengi wamewahi kushuhudia upasuaji ukiendelea na kuona mwili wake na kuweza kuona vyumba Jirani ilhali mwili haujitambui kabisa.

Unaona mwili wako ulee!
 
Huyo Yesu kama anataka kuaminiwa, Alishindwaje kufanya kila mtu amwamini yeye siku zote na wakati wote?

Huyo Yesu asipoaminiwa anapungukiwa nini?

Huyo Yesu wako ana njaa sana ya kutaka kuaminiwa.

Hivi huyo Yesu ana jielewa kweli?
 
Umeandika ndefu harafu Haina point
Kivipi?

Uwepo wa volcano chini ardhini ni uthibitisho juu ya uwepo wa kuzimu ya moto katika Ulimwengu wa Roho.

Hujaona point hapo?
 
Hao funza umewahi kuwaona kwenye lava au volkano inayomwagika?
Hao funza ni WA kuzimu,

Ndani ya lava Kuna moto mithili ya uji ambao huteketeza Kila kumbe hai kitakachogusana na lava.

Karibu 🙏
 
Back
Top Bottom