Mi bishoo tu
Senior Member
- Jun 3, 2023
- 122
- 294
Dar mkuuDuh.wap iyo mkuu?
Sasa cha ajabu nini hapo?Humu ni ushetani tu hakuna kingine.Sitarudia kabisa kuingia
Unaelewa maana ya tangazo?Hili si tangazo la biashara kweli?
Tangazo ni nini?Unaelewa maana ya tangazo?
Sio wewe yule kweli?Kamekonda kwa kula K vant bila kula 🤣🤣
Nimemsikia hater mmoja akisema.
Mama upo sahihi.Kamekonda kwa kula K vant bila kula 🤣🤣
Nimemsikia hater mmoja akisema.
Sijaona ushetwaan wowote hapo! Kuna sehemu nikikupeleka utabaki kinywa wazi mwaka mzima.
Jezzy 😄🚶♀️Mama upo sahihi.
Kadem kama Ako kuja kuufikia mwili wako ulivyo na mshapeee, minofuuu.
Labda mpaka Siku ya Kiama..
Weeeee🤣Kamekonda kwa kula K vant bila kula 🤣🤣
Nimemsikia hater mmoja akisema.
Tatizo ni pesa za mnada...tutafute tu hela dunia ni tamu kinomaHumu ni ushetani tu hakuna kingine.Sitarudia kabisa kuingia
Weeeee🤣
Hahahahaha🤣🤣🤣 na nmekusikia wewe