Msiojulikana mtajulikana tu, ni suala la muda

Msiojulikana mtajulikana tu, ni suala la muda

Mi mi

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2024
Posts
2,748
Reaction score
5,112
Nyie msiojulikana mliojazana huko kwenye vyombo vya kutesa na kuua raia ni suala la muda tu kujulikana kwenu.

Damu ya mtu sio maji ya kunywa, juice, soda ama pombe.

===
Mwanajeshi mmoja nchini Gambia, Luteni Malick Jatta amekiri kuua watu 50 mwaka 2005 kwa agizo la aliyekuwa Rais wa nchi hiyoYahya Jammeh. Jatta amesema hayo mbele ya Tume ya Ukweli na Maridhiano (TRRC), inayochunguza maovu aliyofanya Jammeh katika utawala wake wa miaka 22.

Screenshot 2024-08-27 084944.png
 
Nyie msiojulikana mliojazana huko kwenye vyombo vya kutesa na kuua raia ni suala la muda tu kujulikana kwenu.

Damu ya mtu sio maji ya kunywa,juice,soda ama Pombe.
View attachment 3079728
Ujinga wa mwafrika ni uchawa na kujipendekeza kwa watawala,anaweza ua hata mama yake mzazi kwa sababu ya kumlinda Rais.Huu ni ugonjwa mbaya sana.
 
Nyie msiojulikana mliojazana huko kwenye vyombo vya kutesa na kuua raia ni suala la muda tu kujulikana kwenu.

Damu ya mtu sio maji ya kunywa,juice,soda ama Pombe.
View attachment 3079728
Sasa unadhani huyo ni kipi kitampata zaidi ya ka adhabu kadogo ? tena wengine huenda wakamsifia eti ametubu....

Issue ni kwamba kinachoendelea kisiendelee na wawajibike wote mpaka vyombo vya sheria na ulinzi sababu hata kama wakijulikana kesho haipunguzii gharama na hasara walizopoteza watu waliopatwa na hizo dhahama
 
Wasiojulikana siyo kwamba hawajukikani.hadi Sasa wanajulikana kabisa kuwa ni polisi.refer to mbowe's speech about unknown peoples(polisi tz) located at chang'ombe polis station operating their murders under the control of senior polis officer (zco).any people against their god(prezidoo)(kizimkazi)they arrest and kill.this madness gang must be stop.
 
Usijidanganye... Kama vile mazuri hayawezi kufichika, maovu nayo hayatafichika kamwe. Tena afadhali tuyajue hayo mabaya sababu bila hivyo karma inawatafuna ndani kwa ndani bila kujijua
Maradhi makubwa makubwa yanawaandama watesi na waliowatuma !

KARMA is a bitch !
 
Hawa jamaa ni Balaa.....yaani kazi zingine bwana.....ukitumwa huna ubavu wa kukataa.
Ukikataa maana yake umechagua kifo chako mwenyewe.

Ndio hapo Sasa akili ku mkichwa una breezeee wee roll zako piga jibapa twende kazi
 
Back
Top Bottom