Msiojulikana mtajulikana tu, ni suala la muda

Msiojulikana mtajulikana tu, ni suala la muda

Nyie msiojulikana mliojazana huko kwenye vyombo vya kutesa na kuua raia ni suala la muda tu kujulikana kwenu.

Damu ya mtu sio maji ya kunywa,juice,soda ama pombe.
View attachment 3079728
Kama mnafikiri mpo salama mnajidanganya.View attachment 3079730
Nitazidi kuwa kumbusha ujinga wenu, hampo salama acheni ujinga wenu mara moja.View attachment 3079733
Hii ndio hali halisi ilivyo katika nchi hizi za ku-Afrika. Makundi yenye silaha yanayoitwa kuwa ni Vyombo vya Dola au Vyombo vya Usalama ndiyo vinaongoza kwa kufanya uovu mbaya dhidi ya Raia
 
...
 

Attachments

  • 20240825_075753.jpg
    20240825_075753.jpg
    6.2 KB · Views: 2
  • 20240825_075745.jpg
    20240825_075745.jpg
    24.7 KB · Views: 3
  • FB_IMG_1724339348230.jpg
    FB_IMG_1724339348230.jpg
    67.1 KB · Views: 3
Back
Top Bottom