Ujinga wa mwafrika ni uchawa na kujipendekeza kwa watawala,anaweza ua hata mama yake mzazi kwa sababu ya kumlinda Rais.Huu ni ugonjwa mbaya sana.Nyie msiojulikana mliojazana huko kwenye vyombo vya kutesa na kuua raia ni suala la muda tu kujulikana kwenu.
Damu ya mtu sio maji ya kunywa,juice,soda ama Pombe.
View attachment 3079728
Kwa kweli utawala wa mabavu hauna faida hataka siku moja,Ubaya Ubwela.Nitazidi kuwa kumbusha ujinga wenu, hampo salama acheni ujinga wenu mara moja.View attachment 3079733
Sasa unadhani huyo ni kipi kitampata zaidi ya ka adhabu kadogo ? tena wengine huenda wakamsifia eti ametubu....Nyie msiojulikana mliojazana huko kwenye vyombo vya kutesa na kuua raia ni suala la muda tu kujulikana kwenu.
Damu ya mtu sio maji ya kunywa,juice,soda ama Pombe.
View attachment 3079728
CCM ni watekajiNyie msiojulikana mliojazana huko kwenye vyombo vya kutesa na kuua raia ni suala la muda tu kujulikana kwenu.
Damu ya mtu sio maji ya kunywa,juice,soda ama pombe.
View attachment 3079728
ni 20 hata siyo 50IQ 50
Hawa jamaa ni Balaa.....yaani kazi zingine bwana.....ukitumwa huna ubavu wa kukataa.Nyie msiojulikana mliojazana huko kwenye vyombo vya kutesa na kuua raia ni suala la muda tu kujulikana kwenu.
Damu ya mtu sio maji ya kunywa,juice,soda ama pombe.
View attachment 3079728
Halafu waambiwe kabisa kuwa jinai HAINA ukomo wa muda.Nyie msiojulikana mliojazana huko kwenye vyombo vya kutesa na kuua raia ni suala la muda tu kujulikana kwenu.
Hakuna marefu yasiyo na ncha.Ushahidi upo unaendelea kukusanywa, watekaji na wauaji wameanza kujulikana
Lile ukiliangalia tuu utajua lilikuwa liuaji kubwa sana, time is up jela maisha au kifo vinamhusuHakuna marefu yasiyo na ncha.
Yahya Jammeh ataweka wapi uso wake?
Hivi yule jamaa yuko wapi kwanza?Lile ukiliangalia tuu utajua lilikuwa liuaji kubwa sana, time is up jela maisha au kifo vinamhusu
Maradhi makubwa makubwa yanawaandama watesi na waliowatuma !Usijidanganye... Kama vile mazuri hayawezi kufichika, maovu nayo hayatafichika kamwe. Tena afadhali tuyajue hayo mabaya sababu bila hivyo karma inawatafuna ndani kwa ndani bila kujijua
Ukikataa maana yake umechagua kifo chako mwenyewe.Hawa jamaa ni Balaa.....yaani kazi zingine bwana.....ukitumwa huna ubavu wa kukataa.