mlinzi mlalafofofo
JF-Expert Member
- Apr 20, 2008
- 725
- 1,282
Mliooa mtupishe kwanza kwenye hili jambo letu, labda kama mnataka kutoa ushauri tu, ruksa.
Msema ukweli...
Msema ukweli...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Blanketi za kutoshaTunajifunika na blanket broo.
hakuna baridi acha upotoshajiMliooa mtupishe kwanza kwenye hili jambo letu, labda kama mnataka kutoa ushauri tu, ruksa.
Msema ukweli...
Tunaangalia sana movie na kucheza gamesMliooa mtupishe kwanza kwenye hili jambo letu, labda kama mnataka kutoa ushauri tu, ruksa.
Msema ukweli...
😂😂😂😂 Ni mateso sanaTunateseka mkuu ni vile hatuna namna ila ni mateso sana
Nina wasiwasi labda kuna DNA pandikizi toka nchi za kusadikika maana si kwa Me lia lia wa Dar wa miaka hii 2000s.el nino ilikuwa mwaka 1997/98 wanaume wa Dar acheni uoga na kukuza mambo madogo
fanya michepuko kama uwekezaji na sio maadui,[emoji23][emoji23][emoji23]kuna mimi ninayejaribu kuwapigia simu hadi wale niliowakataliaga na sasa hawapokei. Cha ajabu hata pm nilizozisusia nimeamza kuzijibu cha ajabu hamna anayejibu.
Kweli malipo hapa hapa. Niwashe jiko la mkaa tu.
Uwe makini jiko la mkaa linaua[emoji23][emoji23][emoji23]kuna mimi ninayejaribu kuwapigia simu hadi wale niliowakataliaga na sasa hawapokei. Cha ajabu hata pm nilizozisusia nimeamza kuzijibu cha ajabu hamna anayejibu.
Kweli malipo hapa hapa. Niwashe jiko la mkaa tu.
🤣🤣🤣🤣bado hujasema.[emoji23][emoji23][emoji23]kuna mimi ninayejaribu kuwapigia simu hadi wale niliowakataliaga na sasa hawapokei. Cha ajabu hata pm nilizozisusia nimeamza kuzijibu cha ajabu hamna anayejibu.
Kweli malipo hapa hapa. Niwashe jiko la mkaa tu.