Msione mtu anamn'gang'ania mtu kuna vitu havielezeki

👍👍
 
Samahani lakini kama ntakukosea ila nina swali ... ulijuaje kama wengine hawakufikishi? Huo utafiti uliufanya kwa wanaume wa wapi? Na ni wangapi ....kama hutojali njo dm uone kama utarudi kwa huyo mtu wako walau kwa siku moja tu
Unatafuta njia ya kula tunda kimasihara!
 
Si bora we alikutishia.... me alienda kweli[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], na alinikomoa Mbwa Yule.

Sitaki tena mademu wa kupalamia palamia...
Kumbe alikuwa na Ndugu yake mganga
 
Daah nimependa hyo maelezoo [emoji4][emoji23][emoji23]Yani umemuelezea vizuri sanaaa.....mmi Ni jinsia ya kike lkini nkahis kma namuona alivyo[emoji23][emoji23][emoji23]
 

Oa mkuuu[emoji1488][emoji1488][emoji1488]
 
Panadol inasaidia nini mkuu kwenye gemu?
 
ha haaaaaaa leo ndo nmejua iyo siri kwa nn unashindwa kumuacha aseeee
 
Shida yenu mnajiendekeza na kufanya maamuzi kwa kutumia hisia, mwisho wa siku mnakuwa watumwa. Mtu mwenye akili timamu huwa ana kubalia kuumia kwa ajili ya maslahi.

Sisi wenyewe tushakutana na Wanawake wa aina yake, lakini kuna muda unakubali hayo yote yapita japo unaumia lakini unapigania afya ya akili yako, mali zako, dini yako na maisha baada ya kufa kwako.

Acheni uzembe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…