Msiotaka kuoa bado mnaosha vyombo na kudeki

Msiotaka kuoa bado mnaosha vyombo na kudeki

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Nashangaa Sana vijana wenzangu ambao mnaogopa kuoa wanawake wa kileo wawasaidie kazi za home Kama vile kufua nguo ili nyie mpate muda wa kusaka hela huko kitaa mnafeli wapi ndugu zangu hivi kweli mtu mzima Kama wewe unakundula kudeki na kuosha masufuria...acheni zenu hizo ebu oeni huko Tena oeni wale watumishi wa serikali kabisa wawape challenge nyie si mnajifanya ma great thinker huku hamtaki kuja kula million Mia za mafao siku mkeo akistafu.
 
Nashangaa Sana vijana wenzangu ambao mnaogopa kuoa wanawake wa kileo wawasaidie kazi za home Kama vile kufua nguo ili nyie mpate muda wa kusaka hela huko kitaa.mnafeli wapi ndugu zangu hivi kweli mtu mzima Kama wewe unakundula kudeki na kuosha masufuria...acheni zenu hizo ebu oeni huko Tena oeni wale watumishi wa serikali kabisa wawape challenge nyie si mnajifanya ma great thinker huku hamtaki kuja kula million Mia za mafao siku mkeo akistafu.
Huwa tunawaita mademu zetu waje watufulie,kupika na mengineyo
 
Unaoa mtu ili akuoshee vyombo! Mawazo ya kizamani hayo. Kwa nini usinunue mashine ya kuosha vyombo (dishwasher) na mashine ya kufua (laundry machine) na kufa mseja? Oa mwenza (companion) na siyo mwosha vyombo.
Nashangaa Sana vijana wenzangu ambao mnaogopa kuoa wanawake wa kileo wawasaidie kazi za home Kama vile kufua nguo ili nyie mpate muda wa kusaka hela huko kitaa.mnafeli wapi ndugu zangu hivi kweli mtu mzima Kama wewe unakundula kudeki na kuosha masufuria...acheni zenu hizo ebu oeni huko Tena oeni wale watumishi wa serikali kabisa wawape challenge nyie si mnajifanya ma great thinker huku hamtaki kuja kula million Mia za mafao siku mkeo akistafu.
 
Kuoa ni zaidi ya kufuliwa na kupikiwa, ikiwa unaoa kwa sababu hio basi utaoa sana. Kama kufua peleka nguo kwa dobi, ita mfanya usafi kwako aje afue na kuosha akimaliza apite na 100 kwenye kona.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Gharama hio yote ya Nini SI Bora uoe wa kutoka kijijini mzuri bint afanye kazi wewe Ni kumpendezesha tu kwa Mwezi mahitaji yake binafsi hayafiki hata 50000
 
Kwa hiyo huyo beki tatu unamaanisha anakuja na kuondoka jioni...ila kuwapata siku hizi Ni ngumu sana
Mkuu, there's a huge difference between a wife and a house maid .. labda kama tafsiri yako ya mke ni kukufulia na kukuoshea vyombo ..
 
Back
Top Bottom