Msiotumia pombe kuna kitu mna-miss muwapo faragha na wenzi wenu

Msiotumia pombe kuna kitu mna-miss muwapo faragha na wenzi wenu

JEJUTz

Member
Joined
Aug 22, 2024
Posts
75
Reaction score
197
Lengo si kuhamasisha ulevi au kutumia pombe no!

Ila ipo hivi: Imagine wewe na mpenzi wako mlikaa muda mrefu bila kuonana ile shauku ya kumuona tena mwenzako plus hamu ya ku-do!

Kunywa tu juice na maji mtakuwa hamtendeani haki. Ili kunogesha penzi mnatakiwa muwe high mtaenjoy sana.

Imagine mtu kasafiri umbali mrefu kuja kukuona mpenzi wake halafu mnakunywa juice zenu na maji na kisha kujifungia ndani kama kuku tena mapema tu.

Hii si sawa, raha ya penzi kuchangamka .Kwa mantiki hiyo hapa kinywaji kinahusika, Tequila Camino, Jack Daniel, Black &White, Captain Morgan, hapa ndo mahala pake.

Mi nikienda kwa mtu halafu asitupie pombe kidogo halafu na chumbani hajachangamka nikiondoka na mahusiano yanaishia hapo.

Hapa nimeongelea ule unywaji wa kistarabu na pombe zinazoeleweka. Sio mipombe ya kienyeji plus visungura vinavyoleta kero kwa mwenzako.
 
Lengo si kuhamasisha ulevi au kutumia pombe no!
Ila ipo hivi : Imagine wewe na mpenzi wako mlikaa muda mrefu bila kuonana ile shauku ya kumuona tena mwenzako plus hamu ya ku-do!!

Kunywa tu juice na maji mtakuwa hamtendeani haki. Ili kunogesha penzi mnatakiwa muwe high mtaenjoy sana.

Imagine mtu kasafiri umbali mrefu kuja kukuona mpenzi wake halafu mnakunywa juice zenu na maji na kisha kujifungia ndani kama kuku tena mapema tu!!

Hii si sawa ,raha ya penzi kuchangamka .Kwa mantiki hiyo hapa kinywaji kinahusika, Tequila Camino, Jack Daniel, Black &White ,Captain Morgan,hapa ndo mahala pake.

Mi nikienda kwa mtu halafu asitupie pombe kidogo halafu na chumbani hajachangamka nikiondoka na mahusiano yanaishia hapo.

Hapa nimeongelea ule unywaji wa kistarabu na pombe zinazoeleweka. Sio mipombe ya kienyeji plus visungura vinavyoleta kero kwa mwenzako
Puuuh wee Kweli Ni MALAYA.
 
Lengo si kuhamasisha ulevi au kutumia pombe no!
Ila ipo hivi: Imagine wewe na mpenzi wako mlikaa muda mrefu bila kuonana ile shauku ya kumuona tena mwenzako plus hamu ya ku-do!!

Kunywa tu juice na maji mtakuwa hamtendeani haki. Ili kunogesha penzi mnatakiwa muwe high mtaenjoy sana.

Imagine mtu kasafiri umbali mrefu kuja kukuona mpenzi wake halafu mnakunywa juice zenu na maji na kisha kujifungia ndani kama kuku tena mapema tu!!

Hii si sawa ,raha ya penzi kuchangamka .Kwa mantiki hiyo hapa kinywaji kinahusika, Tequila Camino, Jack Daniel, Black &White ,Captain Morgan,hapa ndo mahala pake.

Mi nikienda kwa mtu halafu asitupie pombe kidogo halafu na chumbani hajachangamka nikiondoka na mahusiano yanaishia hapo.

Hapa nimeongelea ule unywaji wa kistarabu na pombe zinazoeleweka. Sio mipombe ya kienyeji plus visungura vinavyoleta kero kwa mwenzako.
huo ndo utumwa wa pombe, kila kitu hakiendi hadi ulewe
mbona fresh tu juice zetu
 
Kwa utafiti usio rasmi unaonesha kwamba Mwanamke akiwa high(akilewa) anakuwa huru zaidi akiwa Falagha kuliko akiwa hajalewa, japo uhuru wa mpenzi wako unategemea mlivyozoeana.

Kuna Mwanamke akishalewa, ukimpiga kimoja tu unamkuta anakoroma Kwa Usingizi.

Binafsi sipendi harufu ya pombe, kwakuwa situmii. Japo mara kadhaa nimewahi kudate Wapenzi wanywaji.

Hivyo ili niinjoi romance pamoja na show, napendelea zaidi binti asinywe pombe Siku hiyo

Labda wine kidogo glass 1 ama 2, baada ya hapo akasafishe kinywa.
 
Kwa utafiti usio rasmi unaonesha kwamba Mwanamke akiwa high(akilewa) anakuwa huru zaidi akiwa Falagha kuliko akiwa hajalewa, japo uhuru wa mpenzi wako unategemea mlivyozoeana.

Kuna Mwanamke akishalewa, ukimpiga kimoja tu unamkuta anakoroma Kwa Usingizi.

Binafsi sipendi harufu ya pombe, kwakuwa situmii. Japo mara kadhaa nimewahi kudate Wapenzi wanywaji.

Hivyo ili niinjoi romance pamoja na show, napendelea zaidi binti asinywe pombe Siku hiyo

Labda wine kidogo glass 1 ama 2, baada ya hapo akasafishe kinywa.
Umenena vyema
 
Back
Top Bottom