Msiotumia pombe kuna kitu mna-miss muwapo faragha na wenzi wenu

Msiotumia pombe kuna kitu mna-miss muwapo faragha na wenzi wenu

1. Kama wewe ni mtumiaji wa pombe, kwanini uingie kwenye mahusiano na asiye tumia?

2. Unataka wasijifungie ndani mapema kama kuku, wakakeshe club sio? sio kila mtu anapenda lakini.

3. Pombe inaondoa aibu tu, ila 'show' inaweza noga vizuri ukiwa sober ondoa aibu muambie mwenzako 'mautundu' unayotaka
 
1. Kama wewe ni mtumiaji wa pombe, kwanini uingie kwenye mahusiano na asiye tumia?

2. Unataka wasijifungie ndani mapema kama kuku, wakakeshe club sio? sio kila mtu anapenda lakini.

3. Pombe inaondoa aibu tu, ila 'show' inaweza noga vizuri ukiwa sober ondoa aibu muambie mwenzako 'mautundu' unayotaka
Pombe buana ujue mdomoni inaleta harufu mbaya ni vile wanawake tu ni wavumilivu
 
Pombe, kulingana na utafiti tena wa kisayansi, inapandisha lugha ya malkia. Watu waliotulia na pombe yao, utasikia vijineno kama "definitely " na yes kwa wingi.
 
Pale unapodhani ukipendacho wewe ndo standard kuwa wengine walipaswa kukipenda!
 
Anaekufundisha hizo pombe atakuponza, umri ulio nao ni wa kujifunza Skills za maisha sio Ulevi na starehe.
 
Kama unatumia kilevi chochote ili kuongeza ufanisi wa akili yako kuratibu jambo, basi elewa wewe ni zero brain by default. Kwa tafsiri nyingine yani huna akili za kutosha (kibuyu)
NAKAZIA KWA LAMINATION.
 
Back
Top Bottom