Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣Zihifadhi seeds kwenye chupa Sasa ikifika waKati wa fertilization mumimnie mfertelaizwajiSasa mzee unajua lengo la kufanya mapenzi?
Kufanya mapenzi lengo kubwa na nia ni kupata mtoto
Out of that ni uzinzi wa hali ya juu na upotezaji wa muda
Shukrani Mkuu 🙏🙏Umenena vyema
Kwisha double fertilisation😃🤣Zihifadhi seeds kwenye chupa Sasa ikifika waKati wa fertilization mumimnie mfertelaizwaji
Pombe buana ujue mdomoni inaleta harufu mbaya ni vile wanawake tu ni wavumilivu1. Kama wewe ni mtumiaji wa pombe, kwanini uingie kwenye mahusiano na asiye tumia?
2. Unataka wasijifungie ndani mapema kama kuku, wakakeshe club sio? sio kila mtu anapenda lakini.
3. Pombe inaondoa aibu tu, ila 'show' inaweza noga vizuri ukiwa sober ondoa aibu muambie mwenzako 'mautundu' unayotaka
Kwamba "ouch" Pepsi dare for more🤣Pombe, kulingana na utafiti tena wa kisayansi, inapandisha lugha ya malkia. Watu waliotulia na pombe yao, utasikia vijineno kama "definitely " na yes kwa wingi.
NAKAZIA KWA LAMINATION.Kama unatumia kilevi chochote ili kuongeza ufanisi wa akili yako kuratibu jambo, basi elewa wewe ni zero brain by default. Kwa tafsiri nyingine yani huna akili za kutosha (kibuyu)