Msipochangamia mada yangu ...

Ah.hebu kwanza nilipe deni langu....usinipatishe dhambi ya kumdai marehemu.kwa sababu sitaona aibu kukudai kwa kuwa umekufa makusudi ili usinilipe. Tuonane wapi tumalizane?
 
Ah.hebu kwanza nilipe deni langu....usinipatishe dhambi ya kumdai marehemu.kwa sababu sitaona aibu kukudai kwa kuwa umekufa makusudi ili usinilipe. Tuonane wapi tumalizane?
Mjukuu hizi chembechembe za kule mndenyi kumbe na wewe unazo eh?
 
Natamani ww ndio ungekuwa Mkwere!! ningechangia saa 6:03
 
Kelele za chura haimzuii simba kunywa maji.
Haya nishachangia.
 
Meza glasi moja ya pombe kisha bugia fragile kidonge kimoja tu!
 
unataka sanduku la bei gani maana maandalizi nayo muhimu tujiandae sie
 
Meza glasi moja ya pombe kisha bugia fragile kidonge kimoja tu!

Hii nimeipenda sana. Halafu wanaotaka kunywa sumu huwa hawasemi huyu anatutishia nyau.

Tushakuchangia page 3 umefurahi
 
Hii nimeipenda sana. Halafu wanaotaka kunywa sumu huwa hawasemi huyu anatutishia nyau.

Tushakuchangia page 3 umefurahi

Hahahah we DA wewe.......kesho atakuja na ya Kudai tumpatie thanx, keshokutwa PMs.............Buraza Key bwana vituko ka Mkwere
 
aiseee.....haya mi nimechangia.....nakuomba sana usinywe sumu....kila mada yako hata kama hainihusu nitachangia tu kwa furaha yako!!!
weikiendi njema.....:hand:
 
We Kunywa tu si unataka kufa????wasalimie kokote utakapofikia
 
Kashaija, usinywe sumu, kamanda huwa anajilipua, Pwaaaaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…