LD
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 3,014
- 578
Ahahahahaaah!!
Rudisha ile avatar yako. Au nianze kuitumia mimi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahahahaaah!!
Pole sana Dena, mbona ya kawaida?Katavi hiyo avatar bana inaniogopesha
Nitairudisha!Rudisha ile avatar yako. Au nianze kuitumia mimi?
Pole sana Dena, mbona ya kawaida?
Mjukuu hizi chembechembe za kule mndenyi kumbe na wewe unazo eh?Ah.hebu kwanza nilipe deni langu....usinipatishe dhambi ya kumdai marehemu.kwa sababu sitaona aibu kukudai kwa kuwa umekufa makusudi ili usinilipe. Tuonane wapi tumalizane?
Mjukuu hizi chembechembe za kule mndenyi kumbe na wewe unazo eh?
Meza glasi moja ya pombe kisha bugia fragile kidonge kimoja tu!
Hii nimeipenda sana. Halafu wanaotaka kunywa sumu huwa hawasemi huyu anatutishia nyau.
Tushakuchangia page 3 umefurahi
Kashaija una nini leo??
aiseee.....haya mimi nimechangia.....nakuomba sana usinywe sumu....kila mada wako hata kama hainihusu nitachangia tu kwa furaha yako!!!
weikiendi njema.....:hand:
Ahsante.
Nitairudisha ile ya zamani kama hii inakutisha!Rudisha ile nyingine au weka nyingine hii mimi hapana bana