Kirusha julius
Member
- Feb 25, 2011
- 5
- 0
Katika hili inategemea pia imani katika mtazamo wako juu ya wanaume,nini walikufanyia kabla ni kipi kibaya ulisikia kuwahusu.wanaume wa kweli wapo. Ila badili kwanza hisia chanya juu yao. upo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msipochangia mada hii, leo mchana, majira ya saa 6.02 nitakula sumu. Mpaka mtu alalamike ndio mchangie? Acheni hizo MMU!
Lakini kwa nini nijiue? I will get TZS 100,000 na kwenda nazo baa, namwaga kinywaji cha nguvu, naleta mada, lazima watu watachangia. Walevi wanamsapoti anayezungusha raundi hata kama pumba.
Sijiui, hata msipochangia; dawa ndiyo hiyo.
Oooops nimechelewa sijui keshakunywa sumu??? kashaijab upoooooooo
Yaani we mtani hujafa tu, hebu kunywa hiyo sumu haraka sana ufe~tuna hamu ya kunywa Rubisi kwenye matanga yako!.Msipochangia mada hii, leo mchana, majira ya saa 6.02 nitakula sumu. Mpaka mtu alalamike ndio mchangie? Acheni hizo MMU!
Lakini kwa nini nijiue? I will get TZS 100,000 na kwenda nazo baa, namwaga kinywaji cha nguvu, naleta mada, lazima watu watachangia. Walevi wanamsapoti anayezungusha raundi hata kama pumba.
Sijiui, hata msipochangia; dawa ndiyo hiyo.
Aisee we mkaree
Bado upo hai kashaijabutege? nimechangia haya mwaga senkyu
Msipochangia mada hii, leo mchana, majira ya saa 6.02 nitakula sumu. Mpaka mtu alalamike ndio mchangie? Acheni hizo MMU!
Lakini kwa nini nijiue? I will get TZS 100,000 na kwenda nazo baa, namwaga kinywaji cha nguvu, naleta mada, lazima watu watachangia. Walevi wanamsapoti anayezungusha raundi hata kama pumba.
Sijiui, hata msipochangia; dawa ndiyo hiyo.