laki si pesa.
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 10,003
- 9,755
usilinganishe usiku na mchana mkuu!!!Hebu tupe na Totenharm Hospurs wamepoteza mechi 2 mfululizo, maana jamaa kwa kupenda kuzijua timu za Tz tusaidiea na hiyo ya kaskazini mwa London
Hahaaahaah Beiiiiiiiiiira BoySiyo kila mzungu ni kocha wengine ni mashahid Wa yehova
Ila ana match 3 points 9Ila Yanga wenyewe pumzi hakuna
Utakufa wewe na Simba, Yanga itabakiTumechoka jamani, hizi timu Simba na Yanga zote zishuke daraja tu au zife moja kwa moja.
Huyu ni mchungaji wa Kanisa la Orthodox.Kocha hawezi kuwa na madevu kama yoteeeSiyo kila mzungu ni kocha wengine ni mashahid Wa yehova
Acha ushambenga ,hayo ni matokeo ya mpira kama umechoka kakojoe ulaleTumechoka jamani, hizi timu Simba na Yanga zote zishuke daraja tu au zife moja kwa moja.
HahahahahaAjuza kagere
HAKUNAAA HUJUMA MKUU G1. Wachezaji hawajalipwa baadhi ya ' Malimbikizo ' yao waliyoahidiwa huko nyuma.
2. Mfadhili Tegemezi amesusa kwa muda baada ya kuona Simba wanamchanganya kumpa Timu
3. Kuna Ubaguzi mkubwa kati ya Wachezaji hasa wale wa Kigeni na hawa Wazawa
4. Viongozi Wawili Waandamizi wa Simba SC wana Ugomvi wa Kimaslahi na wanaharibiana
5. Kuna Kiongozi mmoja ' anakula ' na Kocha Djuma 10% ' anachomesha ' Timu iharibu ili apewe Djuma
6. Kocha Djuma ana Wachezaji wake First Eleven pamoja na Aussems nae ana ya Kwake
7. Lile Kundi lisilo na Furaha ndani ya Simba SC linajikita Kiuhujumu Timu ' Kishirikina '.
Kazi ipo!
Nawasilisha.
Hapana asee Simba kuna shida..Acheni ubabaishaji na visingizio, wachezaji wanajituma ila kufungwa na kushinda ndio matokeo ya mpira. MAN U wanafungwa hawana visingizio sisi uku vitimj vyetu vikifungwa maneno meeengi.mpira aupo hivyo lazima muheshimu wapinzani wenu.
Yajayo yanasononesha!!!HAKUNAAA HUJUMA MKUU G
SHIDA VIJANA N LUGHA NA MASOUD N RAHISI KUELEWEKA KAZI KUBWA IPOMBELENI WHY DAR WASHINDE MKOANI KIWAKE...
#YAJAYOOOYANAFURAHISHASANAATU