Msipotezewe muda hizi ndizo sababu Kuu zinazopelekea Simba SC kufanya vibaya kwa muda huu mfupi na itaharibu mno mbeleni!

Msipotezewe muda hizi ndizo sababu Kuu zinazopelekea Simba SC kufanya vibaya kwa muda huu mfupi na itaharibu mno mbeleni!

Tatizo ni MO anawadanganya sana washabiki wa Simba.. Wachexaji maveterani ksma Wawa na Kagere amewasajili kwa shilingi laki tano..,halafu znawadanganya washabiki wa simba eti amewasajili kwa bilioni moja... MO ni tapeli
 
1. Wachezaji hawajalipwa baadhi ya ' Malimbikizo ' yao waliyoahidiwa huko nyuma.
2. Mfadhili Tegemezi amesusa kwa muda baada ya kuona Simba wanamchanganya kumpa Timu
3. Kuna Ubaguzi mkubwa kati ya Wachezaji hasa wale wa Kigeni na hawa Wazawa
4. Viongozi Wawili Waandamizi wa Simba SC wana Ugomvi wa Kimaslahi na wanaharibiana
5. Kuna Kiongozi mmoja ' anakula ' na Kocha Djuma 10% ' anachomesha ' Timu iharibu ili apewe Djuma
6. Kocha Djuma ana Wachezaji wake First Eleven pamoja na Aussems nae ana ya Kwake
7. Lile Kundi lisilo na Furaha ndani ya Simba SC linajikita Kiuhujumu Timu ' Kishirikina '.


Kazi ipo!

Nawasilisha.
HAKUNAAA HUJUMA MKUU G
SHIDA VIJANA N LUGHA NA MASOUD N RAHISI KUELEWEKA KAZI KUBWA IPOMBELENI WHY DAR WASHINDE MKOANI KIWAKE...

#YAJAYOOOYANAFURAHISHASANAATU
 
Acheni ubabaishaji na visingizio, wachezaji wanajituma ila kufungwa na kushinda ndio matokeo ya mpira. MAN U wanafungwa hawana visingizio sisi uku vitimj vyetu vikifungwa maneno meeengi.mpira aupo hivyo lazima muheshimu wapinzani wenu.
Hapana asee Simba kuna shida..
 
Hebu tuambie na Arsenal, westham mana wamefungwa mfulilizo
 
Back
Top Bottom