nakubaliana na wewe 100 perc na ndio maana niliweka post hii kudhibitisha hisia zangu,thakyuKisukari, easy saidi than reality. wanawake wote tunapenda sana kuwa adored, kutongozwa, kusifiwa kuwa tumependeza, na sisi ni wazuri.
Men know our weakness (mentioned above), and more often than not, exploit it for their benefits...
wanawake,hivi huwa mnajisikia wanaume wasipowatongoza?.....
kweli,hatamimi naona wanarukaruka tu kutujuza,labda Lizzy angalau amefunguka kidogoNaona wa dada wameamua kukaushia kujibu hoja ya msingi badala yake wanajadili umri tu.
Mkuu, huwa wanajisikia kupungukiwa sana. Wanawake wameumbwa kuwa appreciated. Kama Adam alipomwona Eva na akam-appreciate, ndivyo wanawake wote walivyo. Kwa hiyo wakiikosa hiyo huwa inaleta maumivu.
Ingawa kiwango cha kuumia kinaweza kutofautiana, lakini hiyo ndo hali halisi kwa ujumla.
yaani tena sio black ni braaaaack, lol...wataka kuona nini hasa?mpk kuwe na mwanga best,am so damm black,lol
Mhhhh....I guess inaweza ikawa hivyo kwa baadhi!!Lizzy, NAAMINI ni njia mojawapo kuonyesha umekuwa appreciated
mimi huona sawa tu.angedanganywa angelalamika.mwambie atongoze yeye
how???Ila tu asijiuze
Mpe pole mwambie ani-PM nitampa msaada wa kutoshawanawake,hivi huwa mnajisikia wanaume wasipowatongoza?kuna binti rafiki yangu na huwa tunashauriana mengi,amenipa malalamiko na amekuwa na majonzi katika maisha yake, kuwa ni muda sasa,yapata miaka 3 toka ameachana na x wake lakini cha ajabu hakuna mwingine aliyejitokeza hata wa kumdanganya tu kuwa anampenda!anajihisi upweke wa ajabu lakini ndio hivyo tena!!sasa anafikiria kwenda hata kwa wataalamu kwani kama kusali anahisi imefikia kikomo!ana miaka 36 na kwa kweli ni mtafutaji mzuri wa fedha hivyo maisha yake hayamshindi!tumshaurini wadau,afanyaje sasa?
mtu unakaaje kuwaza hujatongozwa kwa muda gani????????????? huu ni upweke au kutokujiamini?
Mwambie aje kwangu nimchune.
eeeh! ?Duh! Mi mtu akinitongoza naona amenishushia heshima yangu hasa kama huyo mtu tayari yupo kwenye mahusiano au anajua mimi nipo kwenye mahusiano.
Kutongozwa sometimes ni dharau tu.