Duh! Mi mtu akinitongoza naona amenishushia heshima yangu hasa kama huyo mtu tayari yupo kwenye mahusiano au anajua mimi nipo kwenye mahusiano.
Kutongozwa sometimes ni dharau tu.
Nitumie no. yake nimpatie jamaa yng amtongoze ili kutoa gundu.
eeeh! ?
Ili ajue uko kwenye mahusiano ni lazima akutongoze ndipo ww umfahamishe kuwa uko kwenye mahusiano! Upo mpaka hapo husninyo?
Wala! nimekuwa impressed na komenti yako tu. lollawyer vp? Maslahi gongana!
Wala! nimekuwa impressed na komenti yako tu. lol
Am on my way! nakuletea mwenyewe this time.haya. Nasubiria lamba lamba hapa.
nice one,elimu nzuri umeimwaga!mwana,am so dam braaaaackfabinyo hiyo avatar yako mwana nimekubali, umeenda na contrast siyo? maana meno tu.
Kuhusu binti, mi namjua bibi kizee aitwa "Binti Saidi" na ana miaka 80, sasa ubinti maana yake si umri, maana yake ni mtoto wa kike wa mtu fulani. Na hakuna mwanamke asiye mtoto wa fulani. Mbona Bin Laden jitu zima lakin anaitwa Bin Laden? Sasa Bin na Bint zina tofauti gani?
Mwanamke kutotongozwa atake mwenyewe, au labda kama anataka unrealistic hunks with own moneytree and a plot on the Sea of Tranquility.
Kila mtu ana wake, ni kujua tu wapi pa kuangalia. Kama unakinga ndoo upate maji ya mvua katikati ya Atacama unategemea nini?
Hahahaha!!! Chiko hiyo kali mwanaYuko mmoja nasikia kapitisha mileage pia, alienda kwa Mganga, akalalamika, kumbe mganga tapeli. Alikula pesa , akapanga Masela mtaani, wakamtongoza na kumega vitu mpaka dada akarudi kwa Mganga eti ooohhhh hio DAWA ni kali sana!!!, sitoweza, punguza ukali!!!!!. Mganga kamwambia hio dawa ikishawekwa haitopoleki.
Yuko mmoja nasikia kapitisha mileage pia, alienda kwa Mganga, akalalamika, kumbe mganga tapeli. Alikula pesa , akapanga Masela mtaani, wakamtongoza na kumega vitu mpaka dada akarudi kwa Mganga eti ooohhhh hio DAWA ni kali sana!!!, sitoweza, punguza ukali!!!!!. Mganga kamwambia hio dawa ikishawekwa haitopoleki.
Yuko mmoja nasikia kapitisha mileage pia, alienda kwa Mganga, akalalamika, kumbe mganga tapeli. Alikula pesa , akapanga Masela mtaani, wakamtongoza na kumega vitu mpaka dada akarudi kwa Mganga eti ooohhhh hio DAWA ni kali sana!!!, sitoweza, punguza ukali!!!!!. Mganga kamwambia hio dawa ikishawekwa haitopoleki.