Habari wakuu!
Nimekuwa na tatizo la kusisimka mwili mpaka kufikia kupandwa na hasira za ghafla pindi nionanapo vitundu vidogovidogo. Vitundu hivyo vyaweza kuwa katika picha, rangi katika wadudu au kitu chochote. Kuna baadhi ya picha ninapoziona siku yangu inaharibika kabisa.
Hili ni tatizo gani?
Nimekuwa na tatizo la kusisimka mwili mpaka kufikia kupandwa na hasira za ghafla pindi nionanapo vitundu vidogovidogo. Vitundu hivyo vyaweza kuwa katika picha, rangi katika wadudu au kitu chochote. Kuna baadhi ya picha ninapoziona siku yangu inaharibika kabisa.
Hili ni tatizo gani?