Msisimko wa mwili baada ya kuona vitundu vidogo vidogo

Msisimko wa mwili baada ya kuona vitundu vidogo vidogo

Kuna watu wanamajanga hapa duniani dah! Poleni asee mimi majanga yangu ni pale nisikie mtu anakwangua sufuria na kijiko au anasugua na mchanga na pengine nipite sehemu pana ujenzi halafu mtu anaburuza spade kwenye sakafu! Itabidi nikimbie au nizibe maskio.

Daaah hata mimi hii kitu inanisumbua sana
 
Pale Agape Ubungo kituo cha Karismatiki Katoliki kuna tiba na haitawatokea tena. Please nendeni mtapata tiba kamili.
 
Tatizo hilo hata mimi ninalo nikiona kanga ina vidoa vidogo kama nimetoka kuamka huwa naumia sana, nikiona kichuguu cha mchwa huwa nasisimka, ama udongo mweusi wenye vitundu vingi, hii thread yako umenifanya nianze kujisikia vibaya.
 
Tatizo hilo hata mimi ninalo nikiona kanga ina vidoa vidogo kama nimetoka kuamka huwa naumia sana, nikiona kichuguu cha mchwa huwa nasisimka, ama udongo mweusi wenye vitundu vingi, hii thread yako umenifanya nianze kujisikia vibaya.

Wakati naanza kusoma huu uzi nilifikiri response itakuwa tofauti, ila kumbe watu wengi wana tatizo hili, pole sana ndugu yangu
 
may kuna tukio baya sana limewahi kukutokea linalohusiana na vitundu vidogo vidogo.
Au lilimtokea mtu mwingine huku wewe ukishuhidia.
Jaribu kikumbuka matukio
labda aligege...dwa
 
Mimi kuna yale mabox yanahifadhia vitu kama redio, tv na vitu vingine vya electronic meupe yanawekwaga kwa ndani ili hivyo vifaa visipate mtikisiko. Hayo mabox kwangu ni majanga haswa ukiyagusisha pamoja kama kuyasugua au kukata na kisu huwa najickiaga vibaya mno..
 
Hilo ni tatizo la kisaikolojia liitwalo "trypophobia". Angalia kwenye tovuti ya "trypophobia.com' kwa habari zaidi.
Safi sana, ila kiukweli hata kama sio tatizo la kisaikolojia ikatokea binadamu mwenzako kwenye ngozi au sehemu flani ya mwili ana vijitundu vingi vidogo vidogo mwili unasisimka kiana sema tu wengine ndio hivyo tatizo linakuwa kubwa, mie mwenyewe hapa baada ya kuweka hiyo nondo ya trypophobia nikasema ngoja niongeze maarifa kwa kuingia wikipedia si nikaona na picha nami nikasisimka aisee

Btw KUDOS kwa kutoongezea maarifa
 
Mimi kuna yale mabox yanahifadhia vitu kama redio, tv na vitu vingine vya electronic meupe yanawekwaga kwa ndani ili hivyo vifaa visipate mtikisiko. Hayo mabox kwangu ni majanga haswa ukiyagusisha pamoja kama kuyasugua au kukata na kisu huwa najickiaga vibaya mno..

Polystyrene inaitwa, ni psychological kama alivyosema mdau mmoja hapo juu.
 
Tatizo hilo hata mimi ninalo nikiona kanga ina vidoa vidogo kama nimetoka kuamka huwa naumia sana, nikiona kichuguu cha mchwa huwa nasisimka, ama udongo mweusi wenye vitundu vingi, hii thread yako umenifanya nianze kujisikia vibaya.
Kumbe kuna kila aina ya matatizo hapa duniani, mie hiyo ya vitundu mpaka nimwone mnyma au binadamu mwenzangu lakini hata hivyo na uwezo wa kujitutumua kuangalia though kuna asilimia kidogo ya mwili kusisimka kiasi nikashindwa kuendelea ila hilo la vitundu vingine inaelekea ni kubwa aisee ila ni kujitutumua kuangalia mwisho wa siku utazoea hiyo hali
 
poleni wadau zifanyieni kazi shauri na tiba mnazopewa na wachangiaji wengine.
 
nakumbuka mwalimu wangu wa hesabu alikuwa na tatizo hilo akiwa darasani ukaburuza mguu unakula kipigo kikali ilitupa shida
maana ukisikia anakuja unavua viatu na akikuona umevua napo kipigo...
tunasoma huku akili zote zikiwa miguuni matokeo yake tukawa tunatoka kapa darasani...
 
I HAD THE SAME EXPERIENCE,HASA BAADA YA PICHA MOJA KUSAMBAZWA SANA MTANDAONI...ILA BAADA YA KUJUA PICHA ILE ILIKUWA PHOTOSHOPED HALI ile SI TATIZO TENA KWANGU....Kwasasa naweza vikodolea macho non stop 24/7..
 
Hata mie kuna jamaa wangu anatatizo kama hilo. Mfano aliwa kuona picha flani ilikuwa mtandaoni ikionesha ngozi yenye vitundu vingi vingi kwamba ni madhara ya nguo za mtumba kitu kama icho, jamaa alikuwa distrubed sana. So its not only you man

Kweli kabisa mkuu picha hiyo nishawi ioma kikweli hata mimi ninatatizika sana ninapoikumbuka na pia vitu alivyieleza mtoa uzi.
 
hii clip ya dk 2:29 inaelimisha vizuri sana,tazameni,overcome your fears,naamini mtazamo wako/wenu itaweza badilika kama mimi....
 
Last edited by a moderator:
c1359de97fb17b011b2455dd85ca5f73_large.jpg
 
Hata nami yalinipata nikadhani mi mtu wa ajabu sikuwahi mwambia mtu. Kuna tangazo fulani la Capital TV rangi nyekundu huanza kwa kuonyesha vijitu kama shanga ndogondogo. Yaani nilikuwa nikiona hilo Tangazo lilikuwa linanidisturb na nikilion nilikuwa nalitoa haraka, ila nikawa najiuliza ni kwa sababu gani hata sielewi. Ila kwa sasa ni kama wamebadilisha maana silioni tena.
 
Back
Top Bottom