Elisha Sarikiel
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 905
- 1,540
Askofu Josephat Gwajima ameandika hivi punde kwenye ukurasa wake wa Facebook kwamba kabla hujaongea kuhusu mimi lazima utafakari sana kwanza.
Familia zangu zipo nne ambazo ni:-
Familia ya Ufufuo na Uzima
Familia ya Waislamu
Familia ya Watanzania
Na familia ya wasionipenda (Assigned to sharpen me)
Take your enemies as an advantage of your tomorrow
Chukua adui zako kama watu ambao Mungu amewaleta kukuonoa
Enemies are part and parcel of our life
The country is a component of diversity people
Mimi nimeamua kuchagua upande wa ‘La’ kwasababu hii chanjo haijafanyiwa utafiti wa kutosha kwahiyo siwezi ruhusu familia yangu iwe sehemu ya utafiti.
Mungu na wakati ni hakimu wa haki wasiopendelea
Unapoona matukio ya kidunia yanalenga kuleta kuibua kitu, mfano kipindi cha vita ya kwanza ya dunia ilipigana nakuleta Umoja wa mataifa. Dunia ina mifumo yake ambayo haya yanayoonekana ni udhihirisho wa matokeo ya hiyo mifumo.
Agenda ya Chanjo sio yakuitazamia sana kuliko matokeo au kinachozaliwa baada ya hiyo chanjo. Kinachoenda kuzaliwa kutoka kwenye hii chanjo ni TOTAL CONTROL.
Unapochanjwa unasajiliwa, hizo chanjo zina serial number.
The country does require the ‘YOUNG BRAIN’
Watu ambao hatujachanjwa tufanye nini:-
1. Tubu dhambi
‘ Mshahara wa dhambi ni mauti’ hivyo unatakiwa kutubu dhambi kwa Mungu. Muombe Mungu msamaha ili uwe safi.
Epuka hofu
Stadi zinaonyesha kuwa hofu husababisha kinga ya mwili. Kwenye mitandao epukana na taarifa zenye kuleta hofu
Chagua cha kusikiliza
Kama vile imani inavyokuja kwa kusikia ndivyo na hofu huja kwa kusikia hivyo chagua cha kusikiliza.
Usijiandae kuugua
Unapoamka usianze kuzitafuta au kujihisi kuugua AMKA KAFANYE KAZI
Fanya Mazoezi
Mazoezi ni kwaajili ya kila mtu kwahiyo ukiamka asubuhi tengeneza utaratibu wakufanya mazoezi
Kula chakula chenye vitamin C
VITAMIN C ni kirutubisho cha aina yake kinaitwa Water soluble kwamba baada ya muda ina kuyeyuka kwenye mwili kwahivyo haikai sana hivyo kila siku lazima uwe unautaratibu wa kula matunda kama Machungwa, mapapai, mapera n.k
Kula chakula chenye ZINC (Zn) ambayo hupatikana kwenye vyakula ua viungo kama Ginger (tangawizi), Cashews(Korosho),Almonds (Lozi) n.k
Fanya kazi
Mzungu hawezi kukupa kitu cha bure lazima kuwe na malipo yake kwahiyo kama taifa lazima tufanye kazi.
Chunga ulimi wako
“Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi; Na wao waupendao watakula matunda yake.”Mithali 18:21
Chunga unachokisema kwa kinywa chako.
Mwisho unaweza kurejea mahubiri yake ya 01-08-2021 Kwa watu wake kupitia ufunguo huu
Familia zangu zipo nne ambazo ni:-
Familia ya Ufufuo na Uzima
Familia ya Waislamu
Familia ya Watanzania
Na familia ya wasionipenda (Assigned to sharpen me)
Take your enemies as an advantage of your tomorrow
Chukua adui zako kama watu ambao Mungu amewaleta kukuonoa
Enemies are part and parcel of our life
The country is a component of diversity people
Mimi nimeamua kuchagua upande wa ‘La’ kwasababu hii chanjo haijafanyiwa utafiti wa kutosha kwahiyo siwezi ruhusu familia yangu iwe sehemu ya utafiti.
Mungu na wakati ni hakimu wa haki wasiopendelea
Unapoona matukio ya kidunia yanalenga kuleta kuibua kitu, mfano kipindi cha vita ya kwanza ya dunia ilipigana nakuleta Umoja wa mataifa. Dunia ina mifumo yake ambayo haya yanayoonekana ni udhihirisho wa matokeo ya hiyo mifumo.
Agenda ya Chanjo sio yakuitazamia sana kuliko matokeo au kinachozaliwa baada ya hiyo chanjo. Kinachoenda kuzaliwa kutoka kwenye hii chanjo ni TOTAL CONTROL.
Unapochanjwa unasajiliwa, hizo chanjo zina serial number.
The country does require the ‘YOUNG BRAIN’
Watu ambao hatujachanjwa tufanye nini:-
1. Tubu dhambi
‘ Mshahara wa dhambi ni mauti’ hivyo unatakiwa kutubu dhambi kwa Mungu. Muombe Mungu msamaha ili uwe safi.
Epuka hofu
Stadi zinaonyesha kuwa hofu husababisha kinga ya mwili. Kwenye mitandao epukana na taarifa zenye kuleta hofu
Chagua cha kusikiliza
Kama vile imani inavyokuja kwa kusikia ndivyo na hofu huja kwa kusikia hivyo chagua cha kusikiliza.
Usijiandae kuugua
Unapoamka usianze kuzitafuta au kujihisi kuugua AMKA KAFANYE KAZI
Fanya Mazoezi
Mazoezi ni kwaajili ya kila mtu kwahiyo ukiamka asubuhi tengeneza utaratibu wakufanya mazoezi
Kula chakula chenye vitamin C
VITAMIN C ni kirutubisho cha aina yake kinaitwa Water soluble kwamba baada ya muda ina kuyeyuka kwenye mwili kwahivyo haikai sana hivyo kila siku lazima uwe unautaratibu wa kula matunda kama Machungwa, mapapai, mapera n.k
Kula chakula chenye ZINC (Zn) ambayo hupatikana kwenye vyakula ua viungo kama Ginger (tangawizi), Cashews(Korosho),Almonds (Lozi) n.k
Fanya kazi
Mzungu hawezi kukupa kitu cha bure lazima kuwe na malipo yake kwahiyo kama taifa lazima tufanye kazi.
Chunga ulimi wako
“Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi; Na wao waupendao watakula matunda yake.”Mithali 18:21
Chunga unachokisema kwa kinywa chako.
Mwisho unaweza kurejea mahubiri yake ya 01-08-2021 Kwa watu wake kupitia ufunguo huu