#COVID19 Msisitizo Askofu Gwajima ni msimamo juu ya msimamo kuhusu Chanjo ya COVID-19

#COVID19 Msisitizo Askofu Gwajima ni msimamo juu ya msimamo kuhusu Chanjo ya COVID-19

Elisha Sarikiel

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2020
Posts
905
Reaction score
1,540
Askofu Josephat Gwajima ameandika hivi punde kwenye ukurasa wake wa Facebook kwamba kabla hujaongea kuhusu mimi lazima utafakari sana kwanza.

Familia zangu zipo nne ambazo ni:-

Familia ya Ufufuo na Uzima
Familia ya Waislamu
Familia ya Watanzania
Na familia ya wasionipenda (Assigned to sharpen me)

Take your enemies as an advantage of your tomorrow
Chukua adui zako kama watu ambao Mungu amewaleta kukuonoa

Enemies are part and parcel of our life
The country is a component of diversity people

Mimi nimeamua kuchagua upande wa ‘La’ kwasababu hii chanjo haijafanyiwa utafiti wa kutosha kwahiyo siwezi ruhusu familia yangu iwe sehemu ya utafiti.

Mungu na wakati ni hakimu wa haki wasiopendelea

Unapoona matukio ya kidunia yanalenga kuleta kuibua kitu, mfano kipindi cha vita ya kwanza ya dunia ilipigana nakuleta Umoja wa mataifa. Dunia ina mifumo yake ambayo haya yanayoonekana ni udhihirisho wa matokeo ya hiyo mifumo.

Agenda ya Chanjo sio yakuitazamia sana kuliko matokeo au kinachozaliwa baada ya hiyo chanjo. Kinachoenda kuzaliwa kutoka kwenye hii chanjo ni TOTAL CONTROL.

Unapochanjwa unasajiliwa, hizo chanjo zina serial number.

The country does require the ‘YOUNG BRAIN’

Watu ambao hatujachanjwa tufanye nini:-

1. Tubu dhambi

‘ Mshahara wa dhambi ni mauti’ hivyo unatakiwa kutubu dhambi kwa Mungu. Muombe Mungu msamaha ili uwe safi.

Epuka hofu

Stadi zinaonyesha kuwa hofu husababisha kinga ya mwili. Kwenye mitandao epukana na taarifa zenye kuleta hofu

Chagua cha kusikiliza
Kama vile imani inavyokuja kwa kusikia ndivyo na hofu huja kwa kusikia hivyo chagua cha kusikiliza.

Usijiandae kuugua
Unapoamka usianze kuzitafuta au kujihisi kuugua AMKA KAFANYE KAZI

Fanya Mazoezi

Mazoezi ni kwaajili ya kila mtu kwahiyo ukiamka asubuhi tengeneza utaratibu wakufanya mazoezi

Kula chakula chenye vitamin C

VITAMIN C ni kirutubisho cha aina yake kinaitwa Water soluble kwamba baada ya muda ina kuyeyuka kwenye mwili kwahivyo haikai sana hivyo kila siku lazima uwe unautaratibu wa kula matunda kama Machungwa, mapapai, mapera n.k

Kula chakula chenye ZINC (Zn) ambayo hupatikana kwenye vyakula ua viungo kama Ginger (tangawizi), Cashews(Korosho),Almonds (Lozi) n.k

Fanya kazi

Mzungu hawezi kukupa kitu cha bure lazima kuwe na malipo yake kwahiyo kama taifa lazima tufanye kazi.

Chunga ulimi wako

“Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi; Na wao waupendao watakula matunda yake.”Mit‬hali 18:21

Chunga unachokisema kwa kinywa chako.

FB_IMG_1627996298294.jpg


FB_IMG_1627996133073.jpg


Mwisho unaweza kurejea mahubiri yake ya 01-08-2021 Kwa watu wake kupitia ufunguo huu
 
Amina. Ingawa xjawai kumkubali ila namuunga mkono kwny hili
 
Bishop Dr Josephat Gwajima ameandika hivi punde kwenye ukurasa wake wa Facebook kwamba kabla hujaongea kuhusu mimi lazima utafakari sana kwanza.

Familia zangu zipo nne ambazo ni:-
Familia ya Ufufuo na Uzima
Familia ya Waislamu
Familia ya Watanzania
Na familia ya wasionipenda (Assigned to sharpen me)

Take your enemies as an advantage of your tomorrow
Chukua adui zako kama watu ambao Mungu amewaleta kukuonoa
Enemies are part and parcel of our life
The country is a component of diversity people

Mimi nimeamua kuchagua upande wa ‘La’ kwasababu hii chanjo haijafanyiwa utafiti wa kutosha kwahiyo siwezi ruhusu familia yangu iwe sehemu ya utafiti.

Mungu na wakati ni hakimu wa haki wasiopendelea

Unapoona matukio ya kidunia yanalenga kuleta kuibua kitu, mfano kipindi cha vita ya kwanza ya dunia ilipigana nakuleta Umoja wa mataifa. Dunia ina mifumo yake ambayo haya yanayoonekana ni udhihirisho wa matokeo ya hiyo mifumo.

Agenda ya Chanjo sio yakuitazamia sana kuliko matokeo au kinachozaliwa baada ya hiyo chanjo. Kinachoenda kuzaliwa kutoka kwenye hii chanjo ni TOTAL CONTROL.

Unapochanjwa unasajiliwa, hizo chanjo zina serial number.

The country does require the ‘YOUNG BRAIN’

Watu ambao hatujachanjwa tufanye nini:-

1. Tubu dhamb
‘ Mshahara wa dhambi ni mauti’ hivyo unatakiwa kutubu dhambi kwa Mungu. Muombe Mungu msamaha ili uwe safi.

Epuka hofu
Stadi zinaonyesha kuwa hofu husababisha kinga ya mwili. Kwenye mitandao epukana na taarifa zenye kuleta hofu

Chagua cha kusikiliza
Kama vile imani inavyokuja kwa kusikia ndivyo na hofu huja kwa kusikia hivyo chagua cha kusikiliza.

Usijiandae kuugua
Unapoamka usianze kuzitafuta au kujihisi kuugua AMKA KAFANYE KAZI

Fanya Mazoezi
Mazoezi ni kwaajili ya kila mtu kwahiyo ukiamka asubuhi tengeneza utaratibu wakufanya mazoezi

Kula chakula chenye vitamin C
VITAMIN C ni kirutubisho cha aina yake kinaitwa Water soluble kwamba baada ya muda ina kuyeyuka kwenye mwili kwahivyo haikai sana hivyo kila siku lazima uwe unautaratibu wa kula matunda kama Machungwa, mapapai, mapera n.k

Kula chakula chenye ZINC (Zn) ambayo hupatikana kwenye vyakula ua viungo kama Ginger (tangawizi),Cashews(Korosho),Almonds (Lozi) n.k

Fanya kazi
Mzungu hawezi kukupa kitu cha bure lazima kuwe na malipo yake kwahiyo kama taifa lazima tufanye kazi.

Chunga ulimi wako

“Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi; Na wao waupendao watakula matunda yake.”Mit‬hali 18:21

Chunga unachokisema kwa kinywa chako.

View attachment 1878714

View attachment 1878715
Familia ya Ufufuo na Uzima
Familia ya Waislamu
Familia ya Watanzania
Ninini tofauti ya hizi familia tatu kama si upuuuzi na upumbavu uliopitiliza?
 
Familia ya Ufufuo na Uzima
Familia ya Waislamu
Familia ya Watanzania
Ninini tofauti ya hizi familia tatu kama si upuuuzi na upumbavu uliopitiliza?
Nafikiri nahitaji msaada maalum Kwa Wataalamu bingwa wa ushauri
 
Askofu Josephat Gwajima ameandika hivi punde kwenye ukurasa wake wa Facebook kwamba kabla hujaongea kuhusu mimi lazima utafakari sana kwanza.

Familia zangu zipo nne ambazo ni:-

Familia ya Ufufuo na Uzima
Familia ya Waislamu
Familia ya Watanzania
Na familia ya wasionipenda (Assigned to sharpen me)

Take your enemies as an advantage of your tomorrow
Chukua adui zako kama watu ambao Mungu amewaleta kukuonoa

Enemies are part and parcel of our life
The country is a component of diversity people

Mimi nimeamua kuchagua upande wa ‘La’ kwasababu hii chanjo haijafanyiwa utafiti wa kutosha kwahiyo siwezi ruhusu familia yangu iwe sehemu ya utafiti.

Mungu na wakati ni hakimu wa haki wasiopendelea

Unapoona matukio ya kidunia yanalenga kuleta kuibua kitu, mfano kipindi cha vita ya kwanza ya dunia ilipigana nakuleta Umoja wa mataifa. Dunia ina mifumo yake ambayo haya yanayoonekana ni udhihirisho wa matokeo ya hiyo mifumo.

Agenda ya Chanjo sio yakuitazamia sana kuliko matokeo au kinachozaliwa baada ya hiyo chanjo. Kinachoenda kuzaliwa kutoka kwenye hii chanjo ni TOTAL CONTROL.

Unapochanjwa unasajiliwa, hizo chanjo zina serial number.

The country does require the ‘YOUNG BRAIN’

Watu ambao hatujachanjwa tufanye nini:-

1. Tubu dhambi

‘ Mshahara wa dhambi ni mauti’ hivyo unatakiwa kutubu dhambi kwa Mungu. Muombe Mungu msamaha ili uwe safi.

Epuka hofu

Stadi zinaonyesha kuwa hofu husababisha kinga ya mwili. Kwenye mitandao epukana na taarifa zenye kuleta hofu

Chagua cha kusikiliza
Kama vile imani inavyokuja kwa kusikia ndivyo na hofu huja kwa kusikia hivyo chagua cha kusikiliza.

Usijiandae kuugua
Unapoamka usianze kuzitafuta au kujihisi kuugua AMKA KAFANYE KAZI

Fanya Mazoezi

Mazoezi ni kwaajili ya kila mtu kwahiyo ukiamka asubuhi tengeneza utaratibu wakufanya mazoezi

Kula chakula chenye vitamin C

VITAMIN C ni kirutubisho cha aina yake kinaitwa Water soluble kwamba baada ya muda ina kuyeyuka kwenye mwili kwahivyo haikai sana hivyo kila siku lazima uwe unautaratibu wa kula matunda kama Machungwa, mapapai, mapera n.k

Kula chakula chenye ZINC (Zn) ambayo hupatikana kwenye vyakula ua viungo kama Ginger (tangawizi), Cashews(Korosho),Almonds (Lozi) n.k

Fanya kazi

Mzungu hawezi kukupa kitu cha bure lazima kuwe na malipo yake kwahiyo kama taifa lazima tufanye kazi.

Chunga ulimi wako

“Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi; Na wao waupendao watakula matunda yake.”Mit‬hali 18:21

Chunga unachokisema kwa kinywa chako.

View attachment 1878714

View attachment 1878715

Mwisho unaweza kurejea mahubiri yake ya 01-08-2021 Kwa watu wake kupitia ufunguo huu

Amejiandaaje kuufanya utafiti ambao bado haujafanyika?Ama furahisha Magengeni tu?Tafakari chukua hatu.
 
Askofu Josephat Gwajima ameandika hivi punde kwenye ukurasa wake wa Facebook kwamba kabla hujaongea kuhusu mimi lazima utafakari sana kwanza.

Familia zangu zipo nne ambazo ni:-

Familia ya Ufufuo na Uzima
Familia ya Waislamu
Familia ya Watanzania
Na familia ya wasionipenda (Assigned to sharpen me)

Take your enemies as an advantage of your tomorrow
Chukua adui zako kama watu ambao Mungu amewaleta kukuonoa

Enemies are part and parcel of our life
The country is a component of diversity people

Mimi nimeamua kuchagua upande wa ‘La’ kwasababu hii chanjo haijafanyiwa utafiti wa kutosha kwahiyo siwezi ruhusu familia yangu iwe sehemu ya utafiti.

Mungu na wakati ni hakimu wa haki wasiopendelea

Unapoona matukio ya kidunia yanalenga kuleta kuibua kitu, mfano kipindi cha vita ya kwanza ya dunia ilipigana nakuleta Umoja wa mataifa. Dunia ina mifumo yake ambayo haya yanayoonekana ni udhihirisho wa matokeo ya hiyo mifumo.

Agenda ya Chanjo sio yakuitazamia sana kuliko matokeo au kinachozaliwa baada ya hiyo chanjo. Kinachoenda kuzaliwa kutoka kwenye hii chanjo ni TOTAL CONTROL.

Unapochanjwa unasajiliwa, hizo chanjo zina serial number.

The country does require the ‘YOUNG BRAIN’

Watu ambao hatujachanjwa tufanye nini:-

1. Tubu dhambi

‘ Mshahara wa dhambi ni mauti’ hivyo unatakiwa kutubu dhambi kwa Mungu. Muombe Mungu msamaha ili uwe safi.

Epuka hofu

Stadi zinaonyesha kuwa hofu husababisha kinga ya mwili. Kwenye mitandao epukana na taarifa zenye kuleta hofu

Chagua cha kusikiliza
Kama vile imani inavyokuja kwa kusikia ndivyo na hofu huja kwa kusikia hivyo chagua cha kusikiliza.

Usijiandae kuugua
Unapoamka usianze kuzitafuta au kujihisi kuugua AMKA KAFANYE KAZI

Fanya Mazoezi

Mazoezi ni kwaajili ya kila mtu kwahiyo ukiamka asubuhi tengeneza utaratibu wakufanya mazoezi

Kula chakula chenye vitamin C

VITAMIN C ni kirutubisho cha aina yake kinaitwa Water soluble kwamba baada ya muda ina kuyeyuka kwenye mwili kwahivyo haikai sana hivyo kila siku lazima uwe unautaratibu wa kula matunda kama Machungwa, mapapai, mapera n.k

Kula chakula chenye ZINC (Zn) ambayo hupatikana kwenye vyakula ua viungo kama Ginger (tangawizi), Cashews(Korosho),Almonds (Lozi) n.k

Fanya kazi

Mzungu hawezi kukupa kitu cha bure lazima kuwe na malipo yake kwahiyo kama taifa lazima tufanye kazi.

Chunga ulimi wako

“Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi; Na wao waupendao watakula matunda yake.”Mit‬hali 18:21

Chunga unachokisema kwa kinywa chako.

View attachment 1878714

View attachment 1878715

Mwisho unaweza kurejea mahubiri yake ya 01-08-2021 Kwa watu wake kupitia ufunguo huu
Tatizo amekushikieni akili Sana akaona hatutajua kuwa yeye tayari ameshachanjwa muda tu na sio mara moja,Gwajiboy kama anasafiri kwenda nje mtambue kuwa amechanjwa hawezi kabisa kuingia nchi alizopendelea Sana kwenda bila kuchanjwa
IMG_20210803_170048.jpg
 
Gwajima kachoma chanjo huku anadaganya misukule yake ka kwenye ile video yake ya ngono akasingizia mkono wa baunsa
Usihadaike, hiyo ni fake imetengenezwa na Lumumba buku 7 ili kumchafua!
 
Amejiandaaje kuufanya utafiti ambao bado haujafanyika?Ama furahisha Magengeni tu?Tafakari chukua hatu.
Utafiti unapigwa na utafiti. Hivyo tusidanganyike watanzania. Tusikilize Wataalamu wa Afya.
 
Kwa nini hii chanjo iwe kizingimkuti? Wanaokataa si wapuuzi wana hoja za kukataa kuchanjwa
 
Back
Top Bottom