Msisitizo kwa wale wa udsm. The best university eac

Tuliza sehemu zako tena tuondolee shombo hapa...unapost chochote ujisikiacho kama hujaelewa omba msaada...??
Kama wanafunzi wenyewe UDSM siku hizi ndio kama wewe basi ndio maana elimu na vyuo vyetu vimekuwa ni majanga. Kuandika tu ni shida.
 
Kama wanafunzi wenyewe UDSM siku hizi ndio kama wewe basi ndio maana elimu na vyuo vyetu vimekuwa ni majanga. Kuandika tu ni shida.

Hawa vijana wanaojiita wasomi na wanatarajia kuanza masomo udsm wanahisi wao ndio wa kwanza kusoma hapo.

Tuwaache wajitape lakini iko siku watarudi tena humu humu kuomba misaada ya kitaaluma.

Otherwise nakaa kimya maana hata huko wanakokuita university sina ujuzi napo sana.
 

Precise and best answer mkuu Landcruiser
 
Last edited by a moderator:
Jamani ukweli watu tunaingia universities kulingana na courses tunazozipenda mm niliamua kuingia ARDHI UNIVERSITY kwa kuwa nilikuwa nahitaji kusoma mipango miji,Nawashangaa wenzangu mnapo kuwa mnabishana tu bila kujali nini ulikifuata chuoni hapo swali langu,course yako ni udsm,udom,sua,mzumbe au ardhi?kwahiyo hata kama course niyoipenda haipo udsm ni lazima nikasome udsm ili nionekane nipo kwenye chuo bora?Tubadirikeni jamani NB:Cjapinga ubora wa UDSM
 
Eti chuo bora... haya ndio matokeo ya kufaulu kwa notes za nyangwine
 

"CHUO CHA UDSM" hivi kweli wewe ni mwanachuo au ?kweli udsm zilipendwa........ majanga uwiiiiiiiiiiiiiii!
 
Duuuuuuuuu wanafunzi wa UDSM ni nooooma yaani wana akili kiasi hiki!
 
Pili pili usiyoila yakuwashia nini?Wewe kama sio wa UDSM acha kuingilia threads zisizokuhusu,vinginevyo utaambulia kushiriki ligi.
 
nadhani wewe kijana unaasira ila nachokushauri heshimu posti zitumwazo na watu nilichokiandika cha kuumia nini? kuwa na nidhamu. kosoa jambo ambalo unalielewa .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…