Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
achana nae uyo mwisho ungetia msisitizo watu wa teku na stella maris Hii thread haiwahusu.we umechaguliwa chuo cha kata nini? utaisikia udsm kwenye masikio tu. halafu sina mpango wakubishana na wajinga wachache wasiokuna na utafiti kuhusu chuo cha udsm so pita hivi.waache waheshimiwa waliochaguliwa wazoze si wewe wa changanyikeni
Perry hapo 1st yr umetuuza kabisa hebu tuonjeshe utamu wa #daruso na #revolutionsquireHa ha ha,wanadaruso bana..afu naskia mwaka huu revolution square kama kawaida!
Tuliza sehemu zako tena
tuondolee shombo hapa...unapost chochote ujisikiacho kama hujaelewa
omba msaada...??
Hahaha pamoja kaka don't be disrupted kijana eti "you are watching my end"....I will always offend he who brings insensitives when we're settleling serious matters
achana nae uyo mwisho ungetia msisitizo watu wa teku na stella maris Hii thread haiwahusu.
.we umechaguliwa chuo cha kata nini? utaisikia udsm kwenye masikio tu. halafu sina mpango wakubishana na wajinga wachache wasiokuna na utafiti kuhusu chuo cha udsm so pita hivi.waache waheshimiwa waliochaguliwa wazoze si wewe wa changanyikeni
AllenMwita hebu toka humu usituharibie mada yetu...tena koma kuingia kwenye mabandiko yasiyokuhusu ishia huko huko ruko,jordan na teofilo...we can't tolerate your nincompoop interferance in our specific posts relating our splendid university...next time you will receive the worst and illiest words you've ever had since ever...shame be upon you mediocre pretending you know lots while you're just a dumphead...tena tulia kabisa
AllenMwita hebu toka humu usituharibie mada yetu...tena koma kuingia kwenye mabandiko yasiyokuhusu ishia huko huko ruko,jordan na teofilo...we can't tolerate your nincompoop interferance in our specific posts relating our splendid university...next time you will receive the worst and illiest words you've ever had since ever...shame be upon you mediocre pretending you know lots while you're just a dumphead...tena tulia kabisa
Ninawakumbusha wanafunzii waliochaguliwa kujiunga na udsm wahakikishe wanabeba vyeti vyote muhimu vinavyohitajika vyeti hivyo tayari nimesha viainisha kwenye post ya jana.hakikisha unabeba vyeti hivyo since it will cost you once if your will take this easly.suala mahali pa kulala ni kwamba for the new camer i meant first year students accomodation is assured so dont worry about that but remember to pay the accomodation fees first.masuala ya magodoro hatuna kitu kama hicho kumbuka hapa sio sekondari it is university ( higher learning institution) kila kitu kipo chuoni kumbuka hiki ni chuo cha taifa chenye ubora wa aina yake kwani kishikilia nafasi ya sita afrika na nafasi ya kwanza afrika mashariki.mwanafunzi unayechaguliwa udsm yapaswa kutambua kuwa chuo hiki huchukuwa wanafunzi waliopata daraja la kwanza na la pili tu.hivyo hufikapo chuoni soma kwa bidii kwani baada ya kuchaguliwa division tunaziweka pembeni na msuli unakuwa ndio mtindo wetu . ukibweteka na kufaulu kwako advance hapa chuoni utaishi kukeri kila wakati sap and disco na hapo ndio itakuwa mwisho wa chuo so kuwa makini.kwa wenzangu waliochaguliwa COET mziki ni mzito kwani kule huwa kudisco ni jambo la kawaida hivyo anza kujua kuwa kazi ya ziada inahitajika ili ufanikishe malengo.
ikiwa unashida yeyote usisite kutuandikia.solidarity forever
Kwa tanzania SUA cha kwanza,hubert kairuki cha pili,MUHS inafuata then UD source ni shirika la viwango vya ubora wa vyuo vikuu duniani tar 28/08/2013
Hata hivyo uviitavyo sijui vyuo vya kata pia hutoa Elimu ,
Kwanza napenda kukushukuru kwa yote hayo juu yangu.Hakika sitokurudishia maneno ya kejeli kama hayo sababu umeonesha dhahili jinsi ulivyo kupitia ulichonijibu.Na pia nina uhakika wanafunzi wa Udsm hawapo hivyo kama wewe ulivyo.
Kanawe uso kisha urudi na takwimu za ufasaha...eti shirika la viwango vya ubora 'tbs' tangu lini
Top Universities in Tanzania | 2013 University Web Rankings
www.4icu.org/topafrica/
Kwa tanzania SUA cha kwanza,hubert kairuki cha pili,MUHS inafuata then UD source ni shirika la viwango vya ubora wa vyuo vikuu duniani tar 28/08/2013
Hata hivyo uviitavyo sijui vyuo vya kata pia hutoa Elimu ,
Kwanza napenda kukushukuru kwa yote hayo juu yangu.Hakika sitokurudishia maneno ya kejeli kama hayo sababu umeonesha dhahili jinsi ulivyo kupitia ulichonijibu.Na pia nina uhakika wanafunzi wa Udsm hawapo hivyo kama wewe ulivyo.