Msisitizo kwa wale wa udsm. The best university eac

Msisitizo kwa wale wa udsm. The best university eac

we umechaguliwa chuo cha kata nini? utaisikia udsm kwenye masikio tu. halafu sina mpango wakubishana na wajinga wachache wasiokuna na utafiti kuhusu chuo cha udsm so pita hivi.waache waheshimiwa waliochaguliwa wazoze si wewe wa changanyikeni
achana nae uyo mwisho ungetia msisitizo watu wa teku na stella maris Hii thread haiwahusu.
 
Ha ha ha,wanadaruso bana..afu naskia mwaka huu revolution square kama kawaida!
 
Tuliza sehemu zako tena
tuondolee shombo hapa...unapost chochote ujisikiacho kama hujaelewa
omba msaada...??

Uwe Mwelewa dogo ukiambiwa sio unaleta mipasho ya Mtaani kwenu.....tunakoelekea tutashindwa kusema sisi ni wa UDSM kwa sababu ya akili ndogo kama hizi
 
Hahaha pamoja kaka don't be disrupted kijana eti "you are watching my end"....I will always offend he who brings insensitives when we're settleling serious matters

hahahahah tuko pamoja mkuuu.
Samahani hapo kwenye red umeniacha loliondo, maana sijakusoma.
 
we umechaguliwa chuo cha kata nini? utaisikia udsm kwenye masikio tu. halafu sina mpango wakubishana na wajinga wachache wasiokuna na utafiti kuhusu chuo cha udsm so pita hivi.waache waheshimiwa waliochaguliwa wazoze si wewe wa changanyikeni
.
AllenMwita hebu toka humu usituharibie mada yetu...tena koma kuingia kwenye mabandiko yasiyokuhusu ishia huko huko ruko,jordan na teofilo...we can't tolerate your nincompoop interferance in our specific posts relating our splendid university...next time you will receive the worst and illiest words you've ever had since ever...shame be upon you mediocre pretending you know lots while you're just a dumphead...tena tulia kabisa

Vijana mpunguze ukali wa maneno yenu. You're not only lowering the standards of this 'lounge' to guests and members who are expecting to find something useful in here, ila unajidhalilisha pia for that isn't how a well mannered person behaves. Siku si nyingi utarudi tu humu au jukwaa jingine ukihitaji msaada (and trust me you will) with such attitude sijui nani atakusaidia. After all sisi ni jamii moja we ought to respect one another. Anyways its just a piece of advice you can take it or ignore it
 
Last edited by a moderator:
embu acheni ujinga na upumbavu nani kawambieni udsm kuna wenye one na two bax!...nakupa mfano mmoja angalia ba in STATISTICS mwaka jana na mwaka huu hakuna aliyechaguliwa na dv one wala two pale wote walianzia div three...xio unasifia upumbavu!...
 
Refa nimeingia uwanjan....tutulie vijana,em 2endeleze mada zetu za Udsm...inakuaje kuhusu bei za hostel btn za campus na zle za off-campus!!
 
UDSM sio the best versity in EA. Edit heading plz...Mzumbe wakiona utajijua...
 
kasomeni vijana...acheni mabeef ya vyuo..utoto huo...chuo raha kweli
 
AllenMwita hebu toka humu usituharibie mada yetu...tena koma kuingia kwenye mabandiko yasiyokuhusu ishia huko huko ruko,jordan na teofilo...we can't tolerate your nincompoop interferance in our specific posts relating our splendid university...next time you will receive the worst and illiest words you've ever had since ever...shame be upon you mediocre pretending you know lots while you're just a dumphead...tena tulia kabisa

Hee mna ugomvi mwingine au ni chuo tu?. Nyie watoto wacheni ujinga. Hivyo UDSM wanakogombania madirisha ya kusikiliza lecture ingesoma Cambrige au Havard au Stanford ingekuaje wewe mtoto. By the way, your good university does not guarantee you success in your life. The most important thing is how your life will be after your studies. Kumbuka huku Mtaani wako wakiosoma U DSM tunawatuma kama subordinate wetu sisi tuliosoma IFM
 
Last edited by a moderator:
Ninawakumbusha wanafunzii waliochaguliwa kujiunga na udsm wahakikishe wanabeba vyeti vyote muhimu vinavyohitajika vyeti hivyo tayari nimesha viainisha kwenye post ya jana.hakikisha unabeba vyeti hivyo since it will cost you once if your will take this easly.suala mahali pa kulala ni kwamba for the new camer i meant first year students accomodation is assured so dont worry about that but remember to pay the accomodation fees first.masuala ya magodoro hatuna kitu kama hicho kumbuka hapa sio sekondari it is university ( higher learning institution) kila kitu kipo chuoni kumbuka hiki ni chuo cha taifa chenye ubora wa aina yake kwani kishikilia nafasi ya sita afrika na nafasi ya kwanza afrika mashariki.mwanafunzi unayechaguliwa udsm yapaswa kutambua kuwa chuo hiki huchukuwa wanafunzi waliopata daraja la kwanza na la pili tu.hivyo hufikapo chuoni soma kwa bidii kwani baada ya kuchaguliwa division tunaziweka pembeni na msuli unakuwa ndio mtindo wetu . ukibweteka na kufaulu kwako advance hapa chuoni utaishi kukeri kila wakati sap and disco na hapo ndio itakuwa mwisho wa chuo so kuwa makini.kwa wenzangu waliochaguliwa COET mziki ni mzito kwani kule huwa kudisco ni jambo la kawaida hivyo anza kujua kuwa kazi ya ziada inahitajika ili ufanikishe malengo.
ikiwa unashida yeyote usisite kutuandikia.solidarity forever

Kwa tanzania SUA cha kwanza,hubert kairuki cha pili,MUHS inafuata then UD source ni shirika la viwango vya ubora wa vyuo vikuu duniani tar 28/08/2013
 
Hata hivyo uviitavyo sijui vyuo vya kata pia hutoa Elimu ,
Kwanza napenda kukushukuru kwa yote hayo juu yangu.Hakika sitokurudishia maneno ya kejeli kama hayo sababu umeonesha dhahili jinsi ulivyo kupitia ulichonijibu.Na pia nina uhakika wanafunzi wa Udsm hawapo hivyo kama wewe ulivyo.

umetumia busara sana kujibu,unajua nini wametumia mda mrefu kukaa kitaa sasa wanachowaza ni chuo tu ngoja waingie tuone kama muda huu wataupata,siku nyingine thread kama hizi ni kuzipotezea tu usichoshe ubongo wa Great Thinker.
 
Hata hivyo uviitavyo sijui vyuo vya kata pia hutoa Elimu ,
Kwanza napenda kukushukuru kwa yote hayo juu yangu.Hakika sitokurudishia maneno ya kejeli kama hayo sababu umeonesha dhahili jinsi ulivyo kupitia ulichonijibu.Na pia nina uhakika wanafunzi wa Udsm hawapo hivyo kama wewe ulivyo.

upo ryt bro, na sio kila ambaye hasomi udsm hakupa dvsn one au two km inavyosemekana
 
Back
Top Bottom