Msitake tuseme anakula nao hizo hela za wizi!!

Msitake tuseme anakula nao hizo hela za wizi!!

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Mbona hawachukuliwi hatua?

Mbona wanaishia kuhamishwa tu ?

Mbona wanatukana na kukashfu uwamu ya sita?

Mbona wanateuliwa watu walioshindakana na sugu?

Mbona hawachunguzwi licha ya tuhuma za kumilika mali kubwa kuliko vipato?

Hivi anavyozunguka nao huko kwenye ziara kuna usalama kweli? Msitake tusema mnagawa maokoto
 
Mbona hawachukuliwi hatua?

Mbona wanaishia kuhamishwa tu ?

Mbona wanatukana na kukashfu uwamu ya sita?

Mbona wanateuliwa watu walioshindakana na sugu?

Mbona hawachunguzwi licha ya tuhuma za kumilika mali kubwa kuliko vipato?

Hivi anavyozunguka nao huko kwenye ziara kuna usalama kweli? Msitake tusema mnagawa maokoto
yooooooooooooooote yanawezekana
 
🤣🤣🤣 Pokea 💉💉💉

Acha Kazi iendelee...
 
Back
Top Bottom