Msitarajie Man City kumfunga Man Utd

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Hesabu zimekataa kabisa, wengi wanashauku Man City amfunge Man Utd leo katika Manchester Derby ili atwae ubingwa wa EPL.

Leo kwa mara ya kwanza Mourinho akiwa kama kocha wa Man Utd hatofungwa na Man City pale Etihad. Hivyo itawafanya Guardiola na Man City yake kusubiria mpaka wiki ijayo watakapocheza Na Spurs ndio walau wanaweza wakatangaza Ubingwa.

Wazee wa Mikeka nimewapa angalizo, asiyesikia la Mkuu....

Rekodi hazidanganyi: Mourinho hajawahi kuifunga Newcastle ikiwa St. James Park


Povu ruksa...
 
Wewe uliwahi kuucheza mpira au ni ushabiki tu??!! .
Mpira ni dakika tisini
 
endelea kujidanganya...llazma ndoo inyanyuliwe leo
 
we Jamaa ndo ulisemaga Chelsea Ataitoa Barcelona?
 
Sio kwa Odds hizi...
Manchester City v Manchester Utd 1.80/ 3.76 /4.38
 
walichofanya liverpool ni kuchokoza mzinga wa nyuki sasa chunga sana usikutane nae
 
Sio mourinho huyo..jamaa ana roho mbaya..lazma ambanie mtu leo...na game baada ya leo man city atadroo man u atashinda..ndo hapo ubingwa utaposogea mbele
labda sio pale etihad
 
Man u hana namna leo zaidi ya kukabidhi kikombe kwa mtani wake!
Sioni kama Man u atashinda katika mchezo wa leo, kama itakuwa hivyo basi ni bahati ya hali ya juu kwa yeye kufanya hivyo.
Zaidi ya hapo, atapambana na matokeo yake.
 
Leo Manchester united anakufa vizuri mno
 
Naunga mkono hoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…