Msitegeeme sana hizi faini kila siku ipo siku mtazirudisha CAS FIFA

Msitegeeme sana hizi faini kila siku ipo siku mtazirudisha CAS FIFA

BASIASI

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2010
Posts
9,732
Reaction score
5,006
Kumeanza mtindo wa kila mechi simba na yanga wanapigwa faini

Hii ni aibu kwa soka letu haiwezekani kila siku faini. Watu wanajiuliza kumbe hizi mechi ni dili sana mwisho hamtutuona uwanjani.

Yaani mnafanya sasa hizi timu zikikutana zinaweka hela kadhaa kwa ajili ya faini na Mwisho haya matendo yanayoendelea hayaishi. Mfano timu ameadhibiwa kwa kumpiga kiwiko Bocco.

Chama hichohicho hakikuona Onyango alimsukuma Yaqouba akaanguka hakuna faini hakuna onyo. Huu upuuzi utaendelea kila mechi kila siku na mwisho mashabiki tutawaza kumbe kuna wanaosubiria derby waumize timu.

Ushauri tu:
Kama refa hakuona kosa basi vikao vyenu angalieni kama ni adhabu wazeni kuonya kwanza.

Hili la hela msiweke sana kipaumbele sioni derby za UK kukiwa na matozo ya ajabu kama haya.

Mpeni onyo mchezaji & timu

Akirudia mpeni adhabu tena katika matakazo miss derby ijayo iwepo asicheze

Yatatu sasa waonywe mlivyofanya

Kiukweli mitandao mingi leo inajadili tozo za faini za derby kila siku why! Hizo kamati za nidhamu za nini kama wnashindwa kuonya bila faini.

Kama wako sawa iweje wasione kosa la Onyango kumsukuma. Mwenzie akadondoka.

Tutaendelea kuwa vichwa vya mwendawazimu.

Kuna siku hizii timu zitakusanya resist zotee za derby na kuungana mtazitoa cas fifa..Wazotu
 
Mfugaji hupata maziwa kutoka katika mifugo aifugayo,,nadhani na hao tifuatifua ndiyo maana adhabu haziishi kwa mifugo yao,,yani Simba & Yanga
 
katika mwandiko huu kuna harufu ya double kick kidg,sio bure!!
Na dabo kiki imemtuma azungumzie ishu ya Mukoko pekee kama mfano wa kuzionea Simba na Yanga...

Dabo Kiki ipigwe marufuku michezoni
 
Hivi mnaofuatilia soka la bongo na ligi yake huwa mnapata burudani ile ile kama tunayopata kwa tunaofuatilia EPL, Serie A, La Liga n.k
 
Kumeanza mtindo wa kila mechi simba na yanga wanapigwa faini

Hii ni aibu kwa soka letu haiwezekani kila siku faini. Watu wanajiuliza kumbe hizi mechi ni dili sana mwisho hamtutuona uwanjani.

Yaani mnafanya sasa hizi timu zikikutana zinaweka hela kadhaa kwa ajili ya faini na Mwisho haya matendo yanayoendelea hayaishi. Mfano timu ameadhibiwa kwa kumpiga kiwiko Bocco.

Chama hichohicho hakikuona Onyango alimsukuma Yaqouba akaanguka hakuna faini hakuna onyo. Huu upuuzi utaendelea kila mechi kila siku na mwisho mashabiki tutawaza kumbe kuna wanaosubiria derby waumize timu.

Ushauri tu:
Kama refa hakuona kosa basi vikao vyenu angalieni kama ni adhabu wazeni kuonya kwanza.

Hili la hela msiweke sana kipaumbele sioni derby za UK kukiwa na matozo ya ajabu kama haya.

Mpeni onyo mchezaji & timu

Akirudia mpeni adhabu tena katika matakazo miss derby ijayo iwepo asicheze

Yatatu sasa waonywe mlivyofanya

Kiukweli mitandao mingi leo inajadili tozo za faini za derby kila siku why! Hizo kamati za nidhamu za nini kama wnashindwa kuonya bila faini.

Kama wako sawa iweje wasione kosa la Onyango kumsukuma. Mwenzie akadondoka.

Tutaendelea kuwa vichwa vya mwendawazimu.

Kuna siku hizii timu zitakusanya resist zotee za derby na kuungana mtazitoa cas fifa..Wazotu

Walifanya makosa au hawakufanya?
Mashabiki hawakurusha machupa?
Tim hazikuwekewa mlango maalum wa kupita ila wakakaidi na kupitia mlango mwingine?
Viongozi wa tim hawakuwekewa mlango maalum wa kupita ila wakakaidi na kupitia kwenye mlango wa tim?
Morrison hakuvua nguo?
Mukoko hakumpiga mwenzie “Pepsi”?
Shikalo hakugoma kusalimiana na baadhi ya wenzake?


Tim ndogo zikipigwa faini sawa, SIMBA na YANGA kelelee kibao.
 
Back
Top Bottom