Msitu wa Kongowe wawa Dampo ya maiti, Idadi kubwa ya Maiti za vijana zaongozwa kuokotwa,Wengine wazikwa huko huko bila kutambulika

Msitu wa Kongowe wawa Dampo ya maiti, Idadi kubwa ya Maiti za vijana zaongozwa kuokotwa,Wengine wazikwa huko huko bila kutambulika

Mashamba Makubwa Nalima

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2024
Posts
4,978
Reaction score
2,411
Katika mazungumzo kati ya mwanakijiji na mkazi wa Mambisi na mtangazaji wa HakiTV, imegundulika kuwa kumekuwa na utupwaji wa maiti nyingi katika msitu wa hapo kijijini kwao, akisisitiza kuwa vijana kuwa kundi kubwa la hizo maiti zinazookotwa.

Kulingana na ushahidi wake mwenyewe mara nyingine askari wanachukua maiti na mara nyingine wanakijiji wanaamriwa wazifukie hizi maiti hapo hapo kijijini bila uchunguzi wowote. Makaburu yao yapo mpaka leo.

Jambo hilo limekuwa likifanywa kwa miaka 2 au 3 (kulingana na kumbukumbu yake ya haraka), haraka haraka inaweza kuwa 2021 au 2022 kwakuwa interview imefanyika 2024.
 
Katika mazungumzo kati ya mwanakijiji na mkazi wa Mambisi na mtangazaji wa HakiTV, imegundulika kuwa kumekuwa na utupwaji wa maiti nyingi katika msitu wa hapo kijijini kwao, akisisitiza kuwa vijana kuwa kundi kubwa la hizo maiti zinazookotwa.

Kulingana na ushahidi wake mwenyewe mara nyingine askari wanachukua maiti na mara nyingine wanakijiji wanaamriwa wazifukie hizi maiti hapo hapo kijijini bila uchunguzi wowote. Makaburu yao yapo mpaka leo.

Jambo hilo limekuwa likifanywa kwa miaka 2 au 3 (kulingana na kumbukumbu yake ya haraka), haraka haraka inaweza kuwa 2021 au 2022 kwakuwa interview imefanyika 2024.

View: https://www.youtube.com/watch?v=p1fqNfWU8co
 

Attachments

  • VID-20241228-WA0006.mp4
    1.9 MB
Maelezo ya ziada: Maiti zinonekana ni zakuletwa, watu wanauliwa sehemu nyingine na kupelekwa msituni kwakuwa wameshudia alama ya matairi ya gari maeneo ambayo maiti zinaokotwa.
 
Tungekuwa na waandishi makachero, zingetegwa hata kamera za siri hilo eneo.
 
Back
Top Bottom