Msitudanganye 'Boss' Tshisekedi kaja kuomba Msaada wa 'Kijeshi' kupambana na 'M23' na siyo Kibiashara

Msitudanganye 'Boss' Tshisekedi kaja kuomba Msaada wa 'Kijeshi' kupambana na 'M23' na siyo Kibiashara

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Mwambieni akitaka Amani Kwake DR Congo apunguze Ukabila, aache Kuwaibia Pesa Wakongo awaondoe Wanajeshi wanaolinda Amani huko (hasa kutoka MONUSCO) ambao Wengi wao Wanatoka nchi ya Mwenyeji wake wa leo waondoke kwani Wanatesa mno Raia na hata Kuua (kama ilivyoripotiwa na BBC Mwezi Septemba mwanzoni ) na Kubwa zaidi aimarishs Jeshi la Umoja wa Kitaifa litakaloshirikisha karibia 99.9% ya Makabila yote ya Congo DR.

Na mwambieni kabla hajarejea Kwake DR Congo aende Mbezi Beach au Kunduchi (Ushuani) akamsalimie aliyemrithi hicho Cheo alichonacho sasa na akimkosa atampata Mbezi Beach hii ya anakoishi CDF wa zamani (atokae) Mkoani Mbeya kwa aliyekuwa Rubani wa Ndege ya Marehemu Baba yake na Yeye pia ili wasalimiane na amshauri asipende sana Kuvaa kwa Kujificha (hasa kwa Kuvaa Kofia na Kuishusha asijulikane ) na kwenda Kula Bata Baa Moja maarufu sana Sinza.

Na amwambie kuwa tunamshukuru mno baada ya kutoka nchini Congo DR na Kuwaibia vya Kutosha amekuja Kuwekeza nchini katika Maeneo mbalimbali na sasa kuwa ndiyo Mmiliki wa Hoteli moja maarufu iliyoko Mita chache tu kutoka katika Nyumba ya Hayati Baba wa Taifa ambayo inapendwa sana Kukaliwa na Wachezaji wa Taifa Stars na wa Klabu iliyobahatisha na inayofurahia Sare yake na Simba SC leo.
 
Popoma kama popoma
Katika ubora wako
Kwa taarifa yako kabila yupo Belgium
Kaa kwa kutulia
Akiwa Dar es Salaam nchini Tanzania huwa anakuwa sana Mbezi Beach na Kunduchi ambako sasa hivi wapo Mama yako na Dada zake Cecy na Jane ambao kwa sasa ndiyo Wasimamizi Wakuu wa Miradi mingi ya Kibiashara ambayo Kaka yao amewekeza Kunakotukuka.
 
Mtoa mada Ni mnyarwanda aliye uhamishoni kwa jina la Twaha Bigirimana
Hakuna ambaye hajui kuwa Jina langu Halisi lipo NIDA na RITA nje ya hili la ID yangu hapa Jamiiforums la GENTAMYCINE ni Kalemera Rwigyema Mazimpaka Kadogoo Kisungura na siitwi huyu uliyemtaja hapa.

Cc: adriz
 
Bollocks,... mleta mada anajifanya anafahamu mengi kumbe mpuuzi tu asiejua kitu chochote. Ndio DRC atasaidiwa na kama hutaki kula nyembe; na ndio haswaa lengo la zoezi la Dragon Fly linayofanyika huko Lindi na Mtwara.
Je, hilo Zoezi la Dragon Fly linaondoa Umasikini na Ugumu wa Maisha wa sasa wa 95% ya Watanzania?

Nikisema huna Akili utakataa kabisa.
 
Kuna nchi yoyote Africa yenye unafuu wa maisha??? Kuwapambania DRC ni kwa maslahi yetu na sio kwamba kutafuta umasikini wa wananchi. Hao M23 wanaosaidiwa na Rwanda, hao wanyarwanda wana unafuu gani wa kimaisha??? wako choka mbaya sana watu wenyewe hawazidi millioni 15. Mnadanganywa na pr inayofanywa na PK, hako kanchi ni masikini wa kutupwa yaani bongo tumewaacha mbali sana, uwa wanajifariji tu kwa upumbavu wao. Kuna siku US watamtosa slim boy na ndio utakua mwisho wa kujiona kwao.
 
Back
Top Bottom