Msitudanganye 'Boss' Tshisekedi kaja kuomba Msaada wa 'Kijeshi' kupambana na 'M23' na siyo Kibiashara

Msitudanganye 'Boss' Tshisekedi kaja kuomba Msaada wa 'Kijeshi' kupambana na 'M23' na siyo Kibiashara

Mwambieni akitaka Amani Kwake DR Congo apunguze Ukabila, aache Kuwaibia Pesa Wakongo awaondoe Wanajeshi wanaolinda Amani huko (hasa kutoka MONUSCO) ambao Wengi wao Wanatoka nchi ya Mwenyeji wake wa leo waondoke kwani Wanatesa mno Raia na hata Kuua (kama ilivyoripotiwa na BBC Mwezi Septemba mwanzoni ) na Kubwa zaidi aimarishs Jeshi la Umoja wa Kitaifa litakaloshirikisha karibia 99.9% ya Makabila yote ya Congo DR.

Na mwambieni kabla hajarejea Kwake DR Congo aende Mbezi Beach au Kunduchi (Ushuani) akamsalimie aliyemrithi hicho Cheo alichonacho sasa na akimkosa atampata Mbezi Beach hii ya anakoishi CDF wa zamani (atokae) Mkoani Mbeya kwa aliyekuwa Rubani wa Ndege ya Marehemu Baba yake na Yeye pia ili wasalimiane na amshauri asipende sana Kuvaa kwa Kujificha (hasa kwa Kuvaa Kofia na Kuishusha asijulikane ) na kwenda Kula Bata Baa Moja maarufu sana Sinza.

Na amwambie kuwa tunamshukuru mno baada ya kutoka nchini Congo DR na Kuwaibia vya Kutosha amekuja Kuwekeza nchini katika Maeneo mbalimbali na sasa kuwa ndiyo Mmiliki wa Hoteli moja maarufu iliyoko Mita chache tu kutoka katika Nyumba ya Hayati Baba wa Taifa ambayo inapendwa sana Kukaliwa na Wachezaji wa Taifa Stars na wa Klabu iliyobahatisha na inayofurahia Sare yake na Simba SC leo.
Ujipange na haya maneno yako, ujidhatiti, kuna maudhui hutakiwa kuyafanyia dhihaka na wala mzaha.
 
Eric timu ikiyoshangikia droo makolo mna ttzo kwenye vichwa vyenu una miaka 3 ushindi wako suruhu mimi na wewe nani anashangilia sare dah kweli wewe popoma short on target 6wewe 2 harafu ulitaka ushinde ebu kuweni na mambo seriously makolo
 
Eric timu ikiyoshangikia droo makolo mna ttzo kwenye vichwa vyenu una miaka 3 ushindi wako suruhu mimi na wewe nani anashangilia sare dah kweli wewe popoma short on target 6wewe 2 harafu ulitaka ushinde ebu kuweni na mambo seriously makolo
Wewe nawe pimbii sana, watu wanakata issue za maana unaleta ushabiki wa Simba na Yanga, vitimu vyenyewe havijawahi hata kuchukua kombe lolote la Africa usituchafulie thread please. Mpira peleka huko kwa burudani.
 
Akiwa Dar es Salaam nchini Tanzania huwa anakuwa sana Mbezi Beach na Kunduchi ambako sasa hivi wapo Mama yako na Dada zake Cecy na Jane ambao kwa sasa ndiyo Wasimamizi Wakuu wa Miradi mingi ya Kibiashara ambayo Kaka yao amewekeza Kunakotukuka.
Sasa kuna ubaya gani?
 
Wewe nawe pimbii sana, watu wanakata issue za maana unaleta ushabiki wa Simba na Yanga, vitimu vyenyewe havijawahi hata kuchukua kombe lolote la Africa usituchalie thread please. Mpira peleka huko kwa burudani.
Mpuuzi mwenzio kaandika nini uko ungeanza nae huyo mleta Uzi Kisha uniatack mimi jinga kbsa popoma wahed
 
Siku Muhoozi akiwa Rais wa UG mziki wa Congo ndo utanoga na unaweza kusambaa east Africa.
 
Back
Top Bottom