Msitudanganye 'Boss' Tshisekedi kaja kuomba Msaada wa 'Kijeshi' kupambana na 'M23' na siyo Kibiashara

Ujipange na haya maneno yako, ujidhatiti, kuna maudhui hutakiwa kuyafanyia dhihaka na wala mzaha.
 
Eric timu ikiyoshangikia droo makolo mna ttzo kwenye vichwa vyenu una miaka 3 ushindi wako suruhu mimi na wewe nani anashangilia sare dah kweli wewe popoma short on target 6wewe 2 harafu ulitaka ushinde ebu kuweni na mambo seriously makolo
 
Eric timu ikiyoshangikia droo makolo mna ttzo kwenye vichwa vyenu una miaka 3 ushindi wako suruhu mimi na wewe nani anashangilia sare dah kweli wewe popoma short on target 6wewe 2 harafu ulitaka ushinde ebu kuweni na mambo seriously makolo
Wewe nawe pimbii sana, watu wanakata issue za maana unaleta ushabiki wa Simba na Yanga, vitimu vyenyewe havijawahi hata kuchukua kombe lolote la Africa usituchafulie thread please. Mpira peleka huko kwa burudani.
 
Akiwa Dar es Salaam nchini Tanzania huwa anakuwa sana Mbezi Beach na Kunduchi ambako sasa hivi wapo Mama yako na Dada zake Cecy na Jane ambao kwa sasa ndiyo Wasimamizi Wakuu wa Miradi mingi ya Kibiashara ambayo Kaka yao amewekeza Kunakotukuka.
Sasa kuna ubaya gani?
 
Wewe nawe pimbii sana, watu wanakata issue za maana unaleta ushabiki wa Simba na Yanga, vitimu vyenyewe havijawahi hata kuchukua kombe lolote la Africa usituchalie thread please. Mpira peleka huko kwa burudani.
Mpuuzi mwenzio kaandika nini uko ungeanza nae huyo mleta Uzi Kisha uniatack mimi jinga kbsa popoma wahed
 
Siku Muhoozi akiwa Rais wa UG mziki wa Congo ndo utanoga na unaweza kusambaa east Africa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…