daaa huyo jamaa kweli anastahil viboko mwanamke kaiva ivo aseee majitu mengine sijui mavichaa
Lazima huyu bwana ana sababu nzito ya kuamua hivyo...!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
daaa huyo jamaa kweli anastahil viboko mwanamke kaiva ivo aseee majitu mengine sijui mavichaa
Kumbe mwazipenda eehMiaka Saba duuuuh.......talaka angetoa
Kaeni pembeni hamruhusiwi humu.kwahyo sie ''waseja'' haturuhusiwi...?
Du! Ameonewa sana.
[emoji13] [emoji13] [emoji13]Nipende kuutambua uwepo wako tafadhali 😀😀😀😀
Mama kashatamka maombi hayamsaidii anataka bakoraà tyuuuu!![emoji2]Mh! Hapo kuna mambo mengi yako katikati yao. Kama wameshakaa na wameshindwa kuafikiana,wanatakiwa maombi. Isije ikawa kuna pepo la mahaba hapo katikati yao
[emoji13] [emoji13]Source:Gossip Mill Nigeria
Naomba nisitoe maoni yangu [emoji40]
Mwanamke anaaga wazazi wake kule anafuata nini huko halafu alichokifuata hakipatidaaa huyo jamaa kweli anastahil viboko mwanamke kaiva ivo aseee majitu mengine sijui mavichaa