Msiwaonee wababa...

Msiwaonee wababa...

Asante shangazi,nampenda sana baba yangu,nakushukuru sana kwa kutukumbuka wanaume!Mungu akubariki!
 
Kuwa hovyo ina maana ulizaliwa kwenye familia hovyo. Unajua mambo mengi ni ya urithi. Kwa mfamo umezaliwa kwenye familia ambayo baba na mama wote ni walevi, wanapishana kwenye korido wamelewa nyie watoto itakuwaje? Baba kabla ya kumuoa mama yako alikuwa na watoto 5, je wewe unaponaje kuzalisha/kuzalishwa nje ya ndoa?

Uhovyo wa mtu fatilia background ya kwao. Mambo ya kusema eti mke au mume ndiiyo kakufanya uwe hovyo sikubaliani nayo. Kwa nini uudhiwe ukanywe pombe usifunge vilago kwenda kwenu au wewe mwanaume usiamua kuondoka ukamwacha mkeo?
 
Na wale wanaoshinda makanisani mpaka kusahau wajibu wao kwenye familia nao wametoka familia hovyo?
hujawahi ona watoto wa wachungaji ambao ni wavuta bangi,malaya nk .
Tusipende kujumuisha mambo, kuna watu wametoka familia hovyo lakini uhovyo wa familia umewajenga kuwa watu wa maana hasaa kuliko unavoweza kufikiri.


Kuwa hovyo ina maana ulizaliwa kwenye familia hovyo. Unajua mambo mengi ni ya urithi. Kwa mfamo umezaliwa kwenye familia ambayo baba na mama wote ni walevi, wanapishana kwenye korido wamelewa nyie watoto itakuwaje? Baba kabla ya kumuoa mama yako alikuwa na watoto 5, je wewe unaponaje kuzalisha/kuzalishwa nje ya ndoa?

Uhovyo wa mtu fatilia background ya kwao. Mambo ya kusema eti mke au mume ndiiyo kakufanya uwe hovyo sikubaliani nayo. Kwa nini uudhiwe ukanywe pombe usifunge vilago kwenda kwenu au wewe mwanaume usiamua kuondoka ukamwacha mkeo?
 
Kuwa hovyo ina maana ulizaliwa kwenye familia hovyo. Unajua mambo mengi ni ya urithi. Kwa mfamo umezaliwa kwenye familia ambayo baba na mama wote ni walevi, wanapishana kwenye korido wamelewa nyie watoto itakuwaje? Baba kabla ya kumuoa mama yako alikuwa na watoto 5, je wewe unaponaje kuzalisha/kuzalishwa nje ya ndoa?

Uhovyo wa mtu fatilia background ya kwao. Mambo ya kusema eti mke au mume ndiiyo kakufanya uwe hovyo sikubaliani nayo. Kwa nini uudhiwe ukanywe pombe usifunge vilago kwenda kwenu au wewe mwanaume usiamua kuondoka ukamwacha mkeo?




hivi Caroline, utafunga virago vingapi kila kukicha?
Na kama ingekuwa hivi, basi kila leo ingekuwa ni kuamisha kambi tu....lo.....
Kwani mapungufu yapo tu hata uende kwa nani,
nadhani ni bora kama yakikushinda uamue kuishi peke yako tu........................
 
Hiyo supu ya pilipili uliyopewa asubuhi,hilo hapo chini ndio neno.

hivi Caroline, utafunga virago vingapi kila kukicha?
Na kama ingekuwa hivi, basi kila leo ingekuwa ni kuamisha kambi tu....lo.....
Kwani mapungufu yapo tu hata uende kwa nani,
nadhani ni bora kama yakikushinda uamue kuishi peke yako tu........................[/QUOTE]
 
Yeah - Kuna wanawake wengine ni VIMEO katika mahusiano - Lakini ujifanya MALAIKA mbele ya watu! s*hit!
 
mambo mengine ni bora uwe ndani ya ndoa na utaelewa ni kwanini wa baba ndo lawama nyingi huenda huko kama hujaolewa mazungumzo ni

tokana na kufikiria.
 
Juzi kuna mtu (mwanamke) alikua analalamika jinsi mume wake alivyosababisha mpaka akabadilika na kua tofauti kabisa na alivyokua mwanzo....wapo waliounga mkono...waliotoa pole pia kushauri.Tatizo ni kwamba ile mada ilikua inatetea wanawake na kuponda wanaume.Sasa je wanaume wao ndo hawakutwi na situation kama hizo!?!Wangapi wanakua walevi baada ya muda ndani ya ndoa?! Wangapi wanakua na hasira za haraka ambazo hazikuwako mwanzo?! Wangapi wanakimbia nyumba zao walizozipenda mwanzo!!?!Mwangapi wanakua wachachu (bitter) tofauti na kabla ya ndoa??!!Na nyie wadada/wamama hua mnawafanya nini mpaka wababa/kaka zetu wanabadilika na kua hivi?!Na inapotokea hua mnafanya jitihada gani kuwasaidia warudie hali zao za kawaida kabla ya kuanza kulalamika fulana kawa mlevi mara sijui mkorofi?!Samahanini kwa maswali mengi ila jamani kuweni waungwana kwa wenzi wenu.Kama hutaki abadilike katika hali ambayo ni chanya kuelekea hasi jitahidi usiwe kisababishi cha yeye kua hivi!!Na ikitokea kua responsible na tafuta suluhisho badala ya kulalamika!!!



kiukweli kubadilika tabia/mwenendo/hulka uliyokuwa nayo inatokea sana tu,
N mara nyingi watu tunashindwa kutambua na kubeba mapungufu ya wenzi wetu,
matokeo yake kila mtu anataka awe juu......................

Nakumbuka kuna kaka mmoja kabla hajaoa alikuwa ni mtu wa jokes na tabasamu siku zote haliishi usoni mwake,
lakini nowadays, ameanza kuzeeka hata kabla ya umri wake, ule ucheshi na tabasamu lisiloisha vyote kwishney....lol...
Ukimuuliza , anakwambia kweli kuwa uyaone, ya duniani ni mengi!Wife kashaharibu kila chembe ya furaha ya huyu brother.....
 
Yeah - Kuna wanawake wengine ni VIMEO katika mahusiano - Lakini ujifanya MALAIKA mbele ya watu! s*hit!

Kiongozi usisahau pia, kuna wanawake wengine kiukweli bila kuwa kauzu mambo hayaendi kwenye familia,
sasa huu ukauzu wa kujitakia ukubwani wakati hukuwa hivyo ndo taabu inapoanzia hapo .......lol.....
 
mwanamke ndani ya nyumba aki change, we kimbilia kwa Bwana Yesu ambako kuna furaha ya kweli, amani and uzima wa milele..

na asipo-change je?

japo Yesu hakatai waliofrastrate, lakini kwake sio mahali pa waliofrustrate pekee!

Yesu anakupenda sana

ubarikiwe

Glory to God!
 
Yeah - Kuna wanawake wengine ni VIMEO katika mahusiano - Lakini ujifanya MALAIKA mbele ya watu! s*hit!


Kiongozi usisahau pia, kuna wanawake wengine kiukweli bila kuwa kauzu mambo hayaendi kwenye familia,
sasa huu ukauzu wa kujitakia ukubwani wakati hukuwa hivyo ndo taabu inapoanzia hapo .......lol.....

Khaaaa!
 
Lizzy,sisi binadamu kwa ujumla wetu tuna hulka ya 'umimi',in a positive way 'umimi' huu ndo unatufanya tuhangaike ili tuwe watu bora zaidi katika jamii na ubora huu unaweza kuwa katika nyanja nyingi tu za uchumi,uzuri wa kupendeza,umahiri katika michezo,ufanyakazi hodari kazini,ubunifu n.k. Kwa upande mwingine ambao ni hasi 'umimi' huu pia unaweza kutufanya tuwe walafi,katili,wezi (kutaka vya wenzio),kutaka uongee wewe tu,kwenye 6x6 kutaka uridhike wewe tu mwenzio shauri lake n.k. Tukirudi kwenye mada yako unakuta sisi binadamu mambo yanapokuwa mazuri (mfano kwenye mahusiano) huwa tunataka tupewe credit sisi bila kujali mchango wa wenzetu ,hali kadhalika yanapoharibika huwa tunakimbilia kulaumu wenzetu ili mradi sisi tuonekane malaika,na ndo mana i always say 'it takes two to tangle'. Jukumu la kustawisha mahusiano ni la couples wote,lawama haisaidii na kabla mmoja hajasema 'mwenzangu kabadilika' ni vyema ajichunguze kama yeye binafsi hajabadilika.
Samahani kwa maelezo marefu,shauri ya usongo wa kuingia MMU nina siku nyingi nimevinjari humu!
 
Wamama/wadada acheni kua defensive.Kwasababu tu mtu hana biashara yake haina maana hawezi kua na upeo wa kutosha kuielewa biashara inavyoendeshwa...inavyoenda...faida...hasara na yanayopelekea yote haya.

Kuwepo kwenye ndoa sio kujua kila kitu (wapo tunaona wasiojua hata kwanini wameoa/olewa) na kua nje haina maana tupo gizani hatujui lolote.Kama ambavyo wamama hua wanabadilika kwasababu ya mume ndivyo ambavyo na nyie mnaweza kuwasukuma wakaka nje ya mstari.Kama mfano wa Bacha kuhusu kaka aliyekua mcheshi na sasa hivi hayuko vile tena ndivyo ambavyo wakati mwingine wanandoa hua mna“SUCK THE LIFE OUT OF EACHOTHER“. Na ikitokea umefanya hivi acha kusema ungemjua mke/mume wangu...ungekua sijui ndani ya ndoa ungejua...well haya yote yanajulikana.Malalamiko hayasaidii...zaidi yanachoweza kufanya ni kuongeza kero kwa mwenzio na kuzidi kumsukuma kwenye ulevi/depression/hasira/wanawake/kazi sana etc.Pendaneni...jalianeni...saidianeni....na mpunguze kulalamikiana!
 
baadhi ya wanandoa wameshindwa kutafuta chanzo cha matatizo katika ndoa zao..............malalamiko/kulipiza yanachukua nafasi..........ubabe nao unachangia..................mume anaona mke amebadilika badala ya kutaka kujua sababu naye anakwenda kivyake vyake na mke hivyo hivyo ...............ugomvi hauwezi kuisha kila kukicha..........kuwepo na kipindi cha kutafakari mwenendo mzima wa ndoa ......kuweza kujua wapi ndoa inakwenda kushoto au kulia
 
Lizzy,uhondo wa ngoma ni uingie ucheze unajua hata uchungu wa kuzaa unatofautiana kuna wengine hawaujui kabisa lakini wote wamebarikiwa watoto mamiiiiii.


Wamama/wadada acheni kua defensive.Kwasababu tu mtu hana biashara yake haina maana hawezi kua na upeo wa kutosha kuielewa biashara inavyoendeshwa...inavyoenda...faida...hasara na yanayopelekea yote haya.

Kuwepo kwenye ndoa sio kujua kila kitu (wapo tunaona wasiojua hata kwanini wameoa/olewa) na kua nje haina maana tupo gizani hatujui lolote.Kama ambavyo wamama hua wanabadilika kwasababu ya mume ndivyo ambavyo na nyie mnaweza kuwasukuma wakaka nje ya mstari.Kama mfano wa Bacha kuhusu kaka aliyekua mcheshi na sasa hivi hayuko vile tena ndivyo ambavyo wakati mwingine wanandoa hua mna"SUCK THE LIFE OUT OF EACHOTHER". Na ikitokea umefanya hivi acha kusema ungemjua mke/mume wangu...ungekua sijui ndani ya ndoa ungejua...well haya yote yanajulikana.Malalamiko hayasaidii...zaidi yanachoweza kufanya ni kuongeza kero kwa mwenzio na kuzidi kumsukuma kwenye ulevi/depression/hasira/wanawake/kazi sana etc.Pendaneni...jalianeni...saidianeni....na mpunguze kulalamikiana!
 
Back
Top Bottom