Msolwa alishashindwa Yanga mapemaaaa!!.

Msolwa alishashindwa Yanga mapemaaaa!!.

tatizo lake anaamini mtu akiwa amesoma anajua kila kitu wakati kuna nafasi za wasomi katika timu kama kwenye benchi la ufundi, mwekahazina, katibu wa timu na msemaji wa timu lakini yeye kila siku kuteua kamati na kujaza watu ambao hawana mchango wowote mimi kama mshabiki wa Simba nasikitika sana kupambana na yanga mbovu tunataka tukutane na yanga bora ili tupate changamoto ya kupima uwezo wetu
 
Nilisha waambia Mwenyekiti anaefaa pale Yanga alikuwa Dr Jonas Tiboroha. Hawa wengine ni siasa tu.
 
Hapo nyuma kidogo niliwahi kusikia sehemu wanasema ni Mamluki huenda ni kweli eee. [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Hahahaha mtani, fanyeni mapinduzi sasa! Huyu tumemtuma lazima mission aikamilishe, mpaka akiondoka yanga itakuwa Sawa tukuyu stars!
 
Back
Top Bottom