Nimekuwa nikisoma gazeti la Raia mwema kwa muda kuna mtu ameamua kubadili jina lake na kutumia jina Msomaji Raia ili kumshambulia Rais Kikwete.mtitiliko wa maandishi yake hautofautiani na mwandishi mwingine wa gazeti hilo ambaye agharabu kwenye makala zake za kila wiki kutomshambulia JK na serikali yake. kulikoni msomaji Raia?
Nimekuwa nikisoma gazeti la Raia mwema kwa muda kuna mtu ameamua kubadili jina lake na kutumia jina Msomaji Raia ili kumshambulia Rais Kikwete.mtitiliko wa maandishi yake hautofautiani na mwandishi mwingine wa gazeti hilo ambaye agharabu kwenye makala zake za kila wiki kutomshambulia JK na serikali yake. kulikoni msomaji Raia?
Nimekuwa nikisoma gazeti la Raia mwema kwa muda kuna mtu ameamua kubadili jina lake na kutumia jina Msomaji Raia ili kumshambulia Rais Kikwete.mtitiliko wa maandishi yake hautofautiani na mwandishi mwingine wa gazeti hilo ambaye agharabu kwenye makala zake za kila wiki kutomshambulia JK na serikali yake. kulikoni msomaji Raia?
Raia Mwema - Muungwana ni Vitendo tizama matoleo ya wiki hii na wiki iliyopitaTupatie link ya habari alizoandika ili tuchanganye zako na zake tukujibu
Kakadeo huyo unayetaka kumbeba habebeki. Ni gunia la misumari na angalia watu wote makini wamelibwaga chini na kuendelea na hamsini zao. Pole sana,achana nalo na jiunge na msafara kwenda Nuruni.Raia Mwema - Muungwana ni Vitendo tizama matoleo ya wiki hii na wiki iliyopita
Ha ha ha ha hiyo ndio kweli akitaka kuota sugu ya mukichwa aendelee kubeba gunia la misumariKakadeo huyo unayetaka kumbeba habebeki. Ni gunia la misumari na angalia watu wote makini wamelibwaga chini na kuendelea na hamsini zao. Pole sana,achana nalo na jiunge na msafara kwenda Nuruni.
Najua ulikuwa una hamu ya kuweka uzi. Ahsante mkuu tumeuona uzi wako
Nimekuwa nikisoma gazeti la Raia mwema kwa muda kuna mtu ameamua kubadili jina lake na kutumia jina Msomaji Raia ili kumshambulia Rais Kikwete.mtitiliko wa maandishi yake hautofautiani na mwandishi mwingine wa gazeti hilo ambaye agharabu kwenye makala zake za kila wiki kutomshambulia JK na serikali yake. kulikoni msomaji Raia?
Nimekuwa nikisoma gazeti la Raia mwema kwa muda kuna mtu ameamua kubadili jina lake na kutumia jina Msomaji Raia ili kumshambulia Rais Kikwete.mtitiliko wa maandishi yake hautofautiani na mwandishi mwingine wa gazeti hilo ambaye agharabu kwenye makala zake za kila wiki kutomshambulia JK na serikali yake. kulikoni msomaji Raia?
kasome Kiu na Ijumaa , Mzalendo na Uhuru, bila kusahau Daily News na RAI pamoja na Mtanzania.