"Nimpongeze mshindi ila lazima ukweli usemwe kuwa amepata huo urais wa ACA kuwakilisha vilabu 54 baada ya wale waliotakiwa kupewa kama tajiri wa tp mazembe moise katumbi chapwe kukataa kwakuwa yuko busy na kampeni zake za urais huko Congo DR" amesema mtangazaji wilson oruma wa efm radio ambaye Cognizant "Think Tank and Adorable Angel" namjua ni mwana yanga sc wa kufa mtu
Umepewa cheo cha kujitolea unaringa.
Umepewa cheo cha kujitolea unaringa.