Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha!. Ile supu ya bure labda.Ngoja waje wakumwagie supu ya motoo...
yaani msomali mswahili aje kuwa rais wa fifa? hivi hizi bangi zenu mnazovuta huwa mnahakikisha kuwa mmeshakula?Hiari au kujitolea ila hiyo platform ni kubwa sana kwa watu wa mpira hivyo hivyo unashangaa anakuwa Rais wa Fifa
Lakini lazima uwe na sifa maana ataingia kwenye kamati ya utendaji ya CAF. Vilaza hawaingii mle.katika mpira hiko ni cheo cha kipumbavu na kishamba na ndiyo maana hata hujaona kiongozi wa simba sc, wa mamelodi Sundowns fc, wa al ahly na to mazembe fc hawajapoteza muda wao kukitaka na kukishobokea ila msomali mswahili kakipigia magoti kabisa kukiomba ili tu apate sifa na aimbwe katika airwaves mbalimbali za Tanzania
Wivu ni tabia za kike, mtoto wa kiume kuwa na wivu hii nini maana yake?"nimpongeze mshindi ila lazima ukweli usemwe kuwa amepata huo urais wa ACA kuwakilisha vilabu 54 baada ya wale waliotakiwa kupewa kama tajiri wa tp mazembe moise katumbi chapwe kukataa kwakuwa yuko busy na kampeni zake za urais huko congo dr" amesema mtangazaji wilson oruma wa efm radio ambaye Cognizant "Think Tank and Adorable Angel" namjua ni mwana yanga sc wa kufa mtu
umepewa cheo cha kujitolea unaringa
Wa Tanzania wanajua hayo ? Mi bichwa yao imejaa maji tu, yaani mnachukiana chukiana kijingaHiari au kujitolea ila hiyo platform ni kubwa sana kwa watu wa mpira hivyo hivyo unashangaa anakuwa Rais wa Fifa
Angepewa Raia wa nchi nyingine cheo kingekuwa na maana kapewa mtz ghafla cheo hakina maanaWa Tanzania wanajua hayo ? Mi bichwa yao imejaa maji tu, yaani mnachukiana chukiana kijinga
Mkuu hiyo CV haifutiki kuwa yeye ndio wa kwanza ,msiwe watu wa wivu na chuki muda wote .Angepewa Raia wa nchi nyingine cheo kingekuwa na maana kapewa mtz ghafla cheo hakina maana
Huu umoja haijalishi utaishi miaka mingapi lakini mwenyekiti wa kwanza ametoka Tanzania
Amini wee Ni mpumbavu tuan authentic dunce at work
Namaanisha lile supu lao la dezo...Hahaha!. Ile supu ya bure labda.
Uwezo wa kununua supu na kumwaga hawana, labda maji moto
oruma huyu huyu aliyewaanyanya nyie makolo msimu uliopita kwamba yanga haifiki kokote shirikisho au mwingine!!!"Nimpongeze mshindi ila lazima ukweli usemwe kuwa amepata huo urais wa ACA kuwakilisha vilabu 54 baada ya wale waliotakiwa kupewa kama tajiri wa tp mazembe moise katumbi chapwe kukataa kwakuwa yuko busy na kampeni zake za urais huko Congo DR" amesema mtangazaji wilson oruma wa efm radio ambaye Cognizant "Think Tank and Adorable Angel" namjua ni mwana yanga sc wa kufa mtu
Umepewa cheo cha kujitolea unaringa.
Mangungu na hersi vyeo vinafanana kwenye uongozi wa club hizi mbili za kariakoo na mwiko nyuma unasumbua mahakama tuAngepewa mangungu kama rahisi kupewa .udhani anapewa kilaza
Shida huna akili ndio maana watu wanakurushia mawe, kama cheo cha kupewa kwanini hakupewa mjomba wako? tunasifia mchakato uliomfanya yeye kufika hapo ambapo dingi yako hawezi kufika.kwahiyo sina kosa. mjumbe hauwawi
"Nimpongeze mshindi ila lazima ukweli usemwe kuwa amepata huo urais wa ACA kuwakilisha vilabu 54 baada ya wale waliotakiwa kupewa kama tajiri wa tp mazembe moise katumbi chapwe kukataa kwakuwa yuko busy na kampeni zake za urais huko Congo DR" amesema mtangazaji wilson oruma wa efm radio ambaye Cognizant "Think Tank and Adorable Angel" namjua ni mwana yanga sc wa kufa mtu
Umepewa cheo cha kujitolea unaringa.