Msomali Mswahili cheo chake huko ACA alijitolea tu kuliomba baada ya waliotakiwa kupewa kukutana?

Cognizant

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2022
Posts
626
Reaction score
1,409
"Nimpongeze mshindi ila lazima ukweli usemwe kuwa amepata huo urais wa ACA kuwakilisha vilabu 54 baada ya wale waliotakiwa kupewa kama tajiri wa tp mazembe moise katumbi chapwe kukataa kwakuwa yuko busy na kampeni zake za urais huko Congo DR" amesema mtangazaji wilson oruma wa efm radio ambaye Cognizant "Think Tank and Adorable Angel" namjua ni mwana yanga sc wa kufa mtu

Umepewa cheo cha kujitolea unaringa.
 
Hata cheo cha kujitolee anapewa anayestahili si kila mtu. So hongera zake
 
Acha upumbavu bwan popoma
 
Hata cheo cha kujitolee anapewa anayestahili si kila mtu. So hongera zake
katika mpira hiko ni cheo cha kipumbavu na kishamba na ndiyo maana hata hujaona kiongozi wa simba sc, wa mamelodi Sundowns fc, wa al ahly na to mazembe fc hawajapoteza muda wao kukitaka na kukishobokea ila msomali mswahili kakipigia magoti kabisa kukiomba ili tu apate sifa na aimbwe katika airwaves mbalimbali za Tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…