BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,527
- 3,811
1. Nikki wa Pili amejinadi kuwa hajawahi kufeli toka aanze kusoma
2. Nikki wa Pili anasema yeye anasoma sana vitabu
SASA
-Alikuwa anafaulu vipi mtu ambaye hajui hata kuandika spelling za neno jua pia spelling za mvua. Ukiangalia picha niliyoambatanisha utaona, kuna makosa ya kawaida katika uandishi lakini hilo kosa ni kwamba hajui kuandika. Je, mfumo wetu wa elimu ni kweli unashida kama yeye ambavyo huwa anasema?
-Mtu anayesoma sana vitabu huwa anajua sana misamiati na spelling, sasa kama yeye huwa anasoma anasoma nini hicho ambacho kiasi kwamba anashindwa kuandika maneno ya darasa la kwanza.
NIKKI PUNGUZA UJUAJI, UTAKUPONZA.
(Kaandika huko Instagram)
Jua kaandika Juwa
Mvua kaandika mvuwa
2. Nikki wa Pili anasema yeye anasoma sana vitabu
SASA
-Alikuwa anafaulu vipi mtu ambaye hajui hata kuandika spelling za neno jua pia spelling za mvua. Ukiangalia picha niliyoambatanisha utaona, kuna makosa ya kawaida katika uandishi lakini hilo kosa ni kwamba hajui kuandika. Je, mfumo wetu wa elimu ni kweli unashida kama yeye ambavyo huwa anasema?
-Mtu anayesoma sana vitabu huwa anajua sana misamiati na spelling, sasa kama yeye huwa anasoma anasoma nini hicho ambacho kiasi kwamba anashindwa kuandika maneno ya darasa la kwanza.
NIKKI PUNGUZA UJUAJI, UTAKUPONZA.
(Kaandika huko Instagram)
Jua kaandika Juwa
Mvua kaandika mvuwa