Msomi kwa ngazi ya PhD, tunza heshima yako usikimbilie Siasa

Msomi kwa ngazi ya PhD, tunza heshima yako usikimbilie Siasa

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Kwa Africa au Tanzania imekuwa kinyume sana katika masuala ya usomi na siasa. Msomi alipaswa awe mtalaamu na jicho kuangalia mambo yanavyoenda.

Imekuwa kinyume. Huku Tanzania msomi Daktari wa mifupa anaenda kuwa waziri wa michezo au waziri wa Utalii.

Na kuna mtalaamu aliyesomea Hotel Management And Tourism unamkuta ni waziri wa Ujenzi.

Haya mambo yamekuwa yakibagaza maendeleo na elimu kwa kiasi kikubwa sana. Leo unaenda bungeni unamkuta Bashiru anagonga meza kushangilia majibu aliyotoa Mwita Waitara.

Bashiru was so smart kabla hajakubali kutumika kisiasa. Now anadhalilika katika hali ambayo hata akirudi chuoni hatokuwa na amani tena, heshima yake itakuwa imeshuka sana.

Mimi nashauri wasomi wa kubwa wangebaki kuwa wataalamu na washauri. Otherwise wanaweza jikuta wanadhalilika sana na kujikuta muda wote wakilamba viatu vya wakubwa.
 
Tatizo kubwa wasomi wengi wa Tanzania wenye kiwango cha PHD wanatoka kwenye familia za kimasikini peasant family hawanaga muongozo wa maisha wanasoma kukomboa familia zao kutoka kwenye dimbwi la umasikini, sio kutumikia nchi au fani walio bobea

Ndomaana wote wanatumika na wanasiasa kama wanavo taka na kudhalilishwa wengine wamewokotwa jalalani wala hajali kama wame dhalilika as long as they earn money, upeasant ni ugonjwa hatari kwa binaadamu.
 
Tatizo kubwa wasomi wengi wa Tanzania wenye kiwango cha PHD wanatoka kwenye familia za kimasikini peasant family hawanaga muongozo wa maisha wanasoma kukomboa familia zao kutoka kwenye dimbwi la umasikini, sio kutumikia nchi au fani walio bobea

Ndomaana wote wanatumika na wanasiasa kama wanavo taka na kudhalilishwa wengine wamewokotwa jalalani wala hajali kama wame dhalilika as long as they earn money, upeasant ni ugonjwa hatari kwa binaadamu.
Very true!
 
Back
Top Bottom