Nakupa fursa mbili zilizopo Shule ya Sekondari Sakana Iliyopo Kiluvya, Gogoni, jijini Dar Es Salaam.
1. Kama wewe ni Mwalimu wa Fizikia na Hesabu (Basic Mathematics) karibu ufanye Interview, ya masomo hayo mawili, anahitajika Mwalimu wa masomo hayo as soon as Possible.
2. Kuna nafasi za kuhamia kidato cha kwanza na cha tatu kuanzia mwaka huu 2022, endapo utaleta Mwanafunzi kujiandikisha, utapewa kiasi cha Shilingi 100,000/= hii ni shule ya kwanza kuweka fursa hii kwa mtu yeyote, bila kujuana. The more the heads, the more the money.....
Shule pia itaendelea kupokea wanafunzi wa kidato cha pili mwaka 2023' mapema mwisho wa Mwaka huu.
Kwa mawasiliano;
0743123946 WhatsApp
0684436954 Call.
Karibu.