kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,746
ni binti yangu mwenye umri wa miaka 7,anasoma darasa la pili ktk shule moja ya watoto akina sie "kajamba nani" (watu wa kipato cha chini).
pichani ni mtihani wake wa somo la sayansi alio ufanya mwezi ulio pita,nimeona si vibaya kuuleta hapa ili nibadilishane mawazo na wazazi,walezi au wadau wa elimu kuhusu maendeleo yake.karibuni.
MK254 maina pita hapa useme kitu(ushauri),nimeona mara kadhaa unakosoa elimu yetu wanayo fundishwa watoto wa ktz kwamba ni duni na ya kwenyu ni bora.


pichani ni mtihani wake wa somo la sayansi alio ufanya mwezi ulio pita,nimeona si vibaya kuuleta hapa ili nibadilishane mawazo na wazazi,walezi au wadau wa elimu kuhusu maendeleo yake.karibuni.
MK254 maina pita hapa useme kitu(ushauri),nimeona mara kadhaa unakosoa elimu yetu wanayo fundishwa watoto wa ktz kwamba ni duni na ya kwenyu ni bora.

