Msondo ngoma wanadai walipwe mil 300 na WCB

Msondo ngoma wanadai walipwe mil 300 na WCB

Tajirimsomi

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2017
Posts
4,824
Reaction score
5,587
Kutoka amplifier ya clouds fm amesikika kiongozi wa msondo ngoma akidai wcb wawalipe 300 ml kwa kosa la kutumia kionjo cha nyimbo Yao kinyume na sheria kwenye wimbo wao wa "zilipendwa" kabla ya kwenda mahakamani.

D1.jpeg
D2.jpeg
 
"Hee mwanamama,baby mwanamama",darasa nae ajiandae,ila jamaa sijui ana bahati mbaya, bele9 na darasa wameiba vionjo vya saida ,kiba nae kairudia kimaso maso ya Issa matona lkn hawajatozwa hata shilingi, ila ndio hivyo MTU chake ngojea mahakama iamue .
 
Mbona mbele watu wanalipishwa kama kawa haijalishi wenyw mziki wao wamefulia au la!! Kama hujafuata sheria basi inakula tu kwako....hakuna namna.waongee tu wayamalize. Hao wasanii kila siku wanalilia hatimilili halafu wao wanaongoza kuiba vya wasanii wenzao bila malipo
 
Mbona mbele watu wanalipishwa kama kawa haijalishi wenyw mziki wao wamefulia au la!! Kama hujafuata sheria basi inakula tu kwako....hakuna namna.waongee tu wayamalize. Hao wasanii kila siku wanalilia hatimilili halafu wao wanaongoza kuiba vya wasanii wenzao bila malipo
Kula likes mia...halafu lijitu linatetea ujingaa
 
Wana haki iyo ya kudai..kama hawakukubaliana chochote na wcb
 
Hali mbaya mtaan kila kitu pesa Tena Dili kubwa
 
Back
Top Bottom